Kwa kweli kwa hili la elimu blablaa zimezidi. Tena Ndaluchako ndo kavurunda kabisa. Elimu elikuwa enzi za Jackson Makweta. Tusubiri tu tutajionea mengi na bado Bomu la elimu Msingi linakuja hadi leo drs la NNE hawana vitabu.
Serikali kwanini kila siku matatizo ni yaleyale na mwashindwa yatatua.
Tunasubiri majibu ya Waziri toka kwa hoja hizo.
By the Way..huyu ni CCM!!???
Umelazimishwa kumpeleka mwanao...si umpekeke penye zero cost..!?Elimu itambulike kama huduma kama ilivyo hospitali na hivyo isiwe chaka la wafanyabiashara.Shule ya msingi inatoza ada kuliko University za China!!
Shule za Private zinaendeshwa kiujanja ujanja tu...Elimu itambulike kama huduma kama ilivyo hospitali na hivyo isiwe chaka la wafanyabiashara.Shule ya msingi inatoza ada kuliko University za China!!
Hakuna huduma ya bureElimu itambulike kama huduma kama ilivyo hospitali na hivyo isiwe chaka la wafanyabiashara.Shule ya msingi inatoza ada kuliko University za China!!
Shida matamko yamekuwa kibao hadi yanawachanganya watekelezaji wa mtaala. Mfumo wa uaandaji vitabu na usambazaji vitabu si wa kuridhisha. Enzi za Jackson Makweta. Drs la saba anayehitimu anakuwa kaiva kweli na hao drs VII waliovishwa na mfumo mzuri wa elimu enzi hizo ndo waliwafundisha akina prof Hadija. Lakini enzi hizi za Prof Hadija anayetamba yeye yuko makini form four wake unakuta ana B au C ya Hisabati au Kiingereza na amemaliza cheti cha ualimu au diploma au degree ukimwambia afundishe drs la sita au la saba anasema hawezi. Na hao ndo walimu walio wengi wapo serikalini na wana Vyeti Og wamebaki kunyang'anyana ma stadi za Kazi na Kiswahili ambacho pia bado wanafelisha wanafunzi.Jackson Makwetta duh umenikumbusha mbaliii
Si kuna shule za Serikali?,kama huko Private ni ghari sana peleka mtoto shule ya UmmaElimu itambulike kama huduma kama ilivyo hospitali na hivyo isiwe chaka la wafanyabiashara.Shule ya msingi inatoza ada kuliko University za China!!
Kiukweli gavana ifungwe kwenye hizi private school,itafikia hata mnaosapoti waaachwe mtaanza kulia,elimu kuigeuza biashara badala ya huduma ni kutengeneza matabaka ndani ya jamii
Kufunga gavana haitawezekana ikiwa serikali haitaboresha shule zake. Miaka ya 1980 shule za sekondari za serikali ndizo zilikuwa bora zaidi, matokeo ya darasa la 7 yalikuwa yanasubiriwa kwa hamu na waliochaguliwa kwenda sekondari za serikali walionekana vichwa kwelikweli na ilikuwa sifa kubwa kujiunga na shule za serikali.Kiukweli gavana ifungwe kwenye hizi private school,itafikia hata mnaosapoti waaachwe mtaanza kulia,elimu kuigeuza biashara badala ya huduma ni kutengeneza matabaka ndani ya jamii
si upeleke watoto wako shule za Kayumba wakavute bangi !Elimu itambulike kama huduma kama ilivyo hospitali na hivyo isiwe chaka la wafanyabiashara.Shule ya msingi inatoza ada kuliko University za China!!