Mbunge wa Bunda Vijijini stuka, muda umeisha

Ùyo ameshaandaa fungu kwa ajili ya kutoa rushwa pia chama chake kimeshandaa tisheti, kõfia na vitenge kwaajili ya wananchi wa Bunda vijijini ambao kero ya maji ni historia kwao
 
Hizi nyuzi za kuwatahadhirisha waheshimiwa zina trend kwelikweli kipindi hiki. Sina hakika kuwa ni geniune au ni trolls kazini.
 
P
Serikali iligawa wilaya ya bunda na kuongezeka majimbo mawili ambayo ni Bunda vijijini na Bunda mji. Awali ilikuwa jimbo la Bunda ambalo mbunge alikuwa ndg Wassira na Mwibara mh Lugora ambaye ni mbunge hadi sasa.

Tangu achaguliwe huyu mbunge wa Bunda vijijini hajawahi kuzungukia jimbo kujua walau kero na changamoto za wanajimbo tofauti na wabunge wenzake. Cha kushangaza hata bungeni hatujawahi kumsikia akitoa hoja wala kuuliza swali kwa niaba ya wananchi wa jimbo lake.

Ingawa asilimia kubwa ya wananchi wa Bunda vijijini ni wakulima wa pamba na baadhi ni wafugaji wakubwa lakini umaskini umekithiri jimbo hili kwa sababu ya Sera, mipango mibovu ya halmashauri.

Barabara mbaya hazipitiki wakati wa mvua, maji ni shida hata visima hakuna. Vile vile bei kwa zao la pamba ( ambayo ni kama dhahabu hapa wilayani) ni changamoto tofauti na mazao mengine ya biashara kwa wenzetu mfano korosho Mtwara, Kahawa Bukoba na Moshi.

Mbunge wetu wala hashughuliki na hizi changamoto. Sisi wananchi tunamsubiri kwenye uchaguzi kama atarudi maana hatuna namna kwa sasa ya kumwajibisha katiba yetu imetunyima fursa ya kuwaajibisha viongozi wa aina hii ya mbunge wetu.

Serikali iligawa wilaya ya bunda na kuongezeka majimbo mawili ambayo ni Bunda vijijini na Bunda mji. Awali ilikuwa jimbo la Bunda ambalo mbunge alikuwa ndg Wassira na Mwibara mh Lugora ambaye ni mbunge hadi sasa.

Tangu achaguliwe huyu mbunge wa Bunda vijijini hajawahi kuzungukia jimbo kujua walau kero na changamoto za wanajimbo tofauti na wabunge wenzake. Cha kushangaza hata bungeni hatujawahi kumsikia akitoa hoja wala kuuliza swali kwa niaba ya wananchi wa jimbo lake.

Ingawa asilimia kubwa ya wananchi wa Bunda vijijini ni wakulima wa pamba na baadhi ni wafugaji wakubwa lakini umaskini umekithiri jimbo hili kwa sababu ya Sera, mipango mibovu ya halmashauri.

Barabara mbaya hazipitiki wakati wa mvua, maji ni shida hata visima hakuna. Vile vile bei kwa zao la pamba ( ambayo ni kama dhahabu hapa wilayani) ni changamoto tofauti na mazao mengine ya biashara kwa wenzetu mfano korosho Mtwara, Kahawa Bukoba na Moshi.

Mbunge wetu wala hashughuliki na hizi changamoto. Sisi wananchi tunamsubiri kwenye uchaguzi kama atarudi maana hatuna namna kwa sasa ya kumwajibisha katiba yetu imetunyima fursa ya kuwaajibisha viongozi wa aina hii ya mbunge wetu.

Kusema ukweli BUNDA VIJIJINI hatuna Mbunge.......hilo pia ni daraja ambalo limekata mawasiliano ya kutoka kijiji cha misheni kuelekea vijiji vya Sarawe, Hunyari, Kihumbu na Mariwanda..kuna barabara ya kutoka Nyamswa kwenda Mugumu iliyokuwa inajengwa kwa lami mpaka leo ina miaka karibu 10 haikamiliki Mbunge anasinzia tu Bungeni.
IMG-20200413-WA0019.jpg
IMG-20200412-WA0065.jpg
 
Huyu ni kati ya Wabunge vilaza ever, kazi yake ni kugawa Michele misibani na kulala Wanawake hasa Mabar maid.

CCM ikimrudisha Boni Jimbo zima watachagua chadema kwa mara ya kwanza

Tunatahadharisha sumu haionjwi.
 
Sijawahi kusikia mbunge akijipatia yeye mwenyewe budget ya ujenzi wa mabarabara na mengine mwenye ilo jukumu ni serikali kuu huu ujumbe tafadhali naomba uufowadi kwa mh kingstone from Jamica

Mbunge kalitelekeza Kama alivyofanya aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki Antipas M. Lisu.
 
Ninyi watu wa Bunda nawashauri mumrudishe Mhe. Wassira Bungeni. Mhe. Wassira amefanya mengi sana alipokuwa Mbunge wa Bunda. Mabwawa yote, Shule za Sekondari, TASAF na mengine mengi yametokana na Mhe. Wassira. Mimi namkubali sana Mhe. Wassira ni mfuatiliaji na hakuna kijiji ambacho Mhe. Wassira hakufika.
Wewe ni poyoyo miaka yote ya ubunge wa wasira bunda haina maji na umbali kutoka ziwa Victoria ni km 9 tu,mradi wa maji ulisimama zaidi ya miaka 9 na ulikuwa unafadhiliwa na world bank yeye na Nyakiranganyi wakapiga hela,kumbuka swali alilowahi uoizwa na wananchi wakilallamika hawana maji aliwajibu fyoko kuwa dawa huwamnamezea nini Kama hamna maji?hicho ndicho kilicho mpiga chini 2015,kwa ujumla viongozi kutoka Mara ni mbulula hawana ushirikiano ndio maana hatuna maendeleo,

Kuhusu malalamiko uliyo yatoa Kama barabara mbovu mara yote ipo hivyo,ukienda musoma hali ipo hivyo kwa kata za pembezoni, mjini kati wamejitahidi kiasi Ila mvua imewaathiri sana ndani ya kata ya kitaji maji yamejaa na watu wamehama makazi yao,Kuna majmbo toka tupate Uhuru yanaongozwa na CCM lakini hakuna chochote Cha maana ka musoma vijijini hawana maji Wala barabara nzuri,butiama,rorya,Serengeti wapo hoi,japo Serengeti Kuna barabara inajengwa sasa tatizo ni maji





QUOTE="Koryo2, post: 31189740, member: 401150"]
Ninyi watu Mabwawa yote, Shule za Sekondari, TASAF na mengine mengi yametokana na Mhe. Wassira. Mimi namkubali sana Mhe. Wassira ni mfuatiliaji na hakuna kijiji ambacho Mhe. Wassira hakufika.
[/QUOTE]
I
 
Kama unampenda Sana kamchukue ukalale naye akupige miti usiku kucha!
Nchi hii in yetu sote,swala la TASSAF ni mipango ya serikali kuzisaidia kaya masikini.naona nikomee hapo maana kuna watu wana mahaba na watu na siyo maslahi ya watu.ANNA TIBAIJUKA Katangaza kustaafu.ABDALLAH BULEMBO NA LWAKATARE WOTE wametangaza kustaafu je hawa wote ina maana wamekataliwa?.Mwaka huu ni mwaka wa ving'ang'anizi kustafishwa kwa fedheha,Anaemtaka akaongoze familia yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali iligawa wilaya ya bunda na kuongezeka majimbo mawili ambayo ni Bunda vijijini na Bunda mji. Awali ilikuwa jimbo la Bunda ambalo mbunge alikuwa ndg Wassira na Mwibara mh Lugora ambaye ni mbunge hadi sasa.

Tangu achaguliwe huyu mbunge wa Bunda vijijini hajawahi kuzungukia jimbo kujua walau kero na changamoto za wanajimbo tofauti na wabunge wenzake. Cha kushangaza hata bungeni hatujawahi kumsikia akitoa hoja wala kuuliza swali kwa niaba ya wananchi wa jimbo lake.

Ingawa asilimia kubwa ya wananchi wa Bunda vijijini ni wakulima wa pamba na baadhi ni wafugaji wakubwa lakini umaskini umekithiri jimbo hili kwa sababu ya Sera, mipango mibovu ya halmashauri.

Barabara mbaya hazipitiki wakati wa mvua, maji ni shida hata visima hakuna. Vile vile bei kwa zao la pamba ( ambayo ni kama dhahabu hapa wilayani) ni changamoto tofauti na mazao mengine ya biashara kwa wenzetu mfano korosho Mtwara, Kahawa Bukoba na Moshi.

Mbunge wetu wala hashughuliki na hizi changamoto. Sisi wananchi tunamsubiri kwenye uchaguzi kama atarudi maana hatuna namna kwa sasa ya kumwajibisha katiba yetu imetunyima fursa ya kuwaajibisha viongozi wa aina hii ya mbunge wetu.
Boniphace Getere bado anayo nafasi ya kuchaguliwa kwa maslahi ya wananchi wa jimbo la bunda vijijini.Natambua kuwa kuna diwani mmoja anafanya kampeni za chini kwa chini lakini kwa boni bado ana nafasi 2020.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom