Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo yupo salama..Je aliyechochea mpaka Tundu Lissu akapigwa risasi naye atakamatwa?
CCM ndiyo tabia zao..Bunda Mjini Ester Bulaya - CDM.
..Bunda Vijijini ina mbunge toka CCM.
Kwa hiyo unasema naibu waziri kangi lugora yupo mbaroni?JImbo la MWIBARA pia ipo bunda
Mleta taarifa kama ingekuwa China tungeshakunyonga zamanj
chuwaalbert, wewe uelewa wako toka Mh. Lissu alazwe umekuwa wa mashaka mashaka. Bunda ina majimbo mawili- Bunda Mjini (Ester Bulaya-CHADEMA) na Bunda Vijijini ( Boniface Getere Mwita-CCM)Anhaaaa...Mbunge wa Bunda si Esta Bulaya? Ama Bunda ina Mbunge zaidi ya Mmoja. Mtoa taarifa, fafanua ni BUNDA IPI!
Mkuu Wilaya ya BUNDA ina majimbo matatuchuwaalbert, wewe uelewa wako toka Mh. Lissu alazwe umekuwa wa mashaka mashaka. Bunda ina majimbo mawili- Bunda Mjini (Ester Bulaya-CHADEMA) na Bunda Vijijini ( Boniface Getere Mwita-CCM)
Ukitaka kuwakimbiza wanaccm jf waulize swali hilo ...Je aliyechochea mpaka Tundu Lissu akapigwa risasi naye atakamatwa?
Anhaaaa...Mbunge wa Bunda si Esta Bulaya? Ama Bunda ina Mbunge zaidi ya Mmoja. Mtoa taarifa, fafanua ni BUNDA IPI!
Atakuwa Mbunge wa Bunda (vijijini) Mwita Getere ndie anaepakana na wilaya za Serengeti na Butiama ambazo ndio wilaya zinazogombea mipaka.Mkuu Wilaya ya BUNDA ina majimbo matatu
1. Bunda Mjini - Bulaya CDM
2. Bunda (Vijijini) - Getere CCM
3. Mwibara - Lugora CCM
sasa mtoa mada angetuelewesha kati ya hao ni yupi yupo lupango maana wote ni wabunge toka Wilaya ya BUNDA?