johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,847
- 141,769
Mbunge wa Bunda na mwenyekiti wa CCM wilayani humo wanashikiliwa na polisi kwa uchochezi uliopelekea mauaji ya watu wawili. Pia wananchi takribani 49 wamekamatwa kwa kudaiwa kutekeleza mauaji hayo. Mkuu wa mkoa wa Mara Adamu Malima amesema hakuna mtu hata mmoja aliyehusika kwa namna yeyote ile kufanikisha mauaji hayo atakayekwepa mkono wa sheria. Malima amesema hata wale waliosababisha mauaji hayo wakiwa nyuma ya pazia watashughulikiwa na jeshi la polisi kwa mujibu wa sheria. Source Star Tv habari!