Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
- Thread starter
- #21
kwanini anaongelea jambo LILILO MAHAKAMAN?????
Anajaribu kulinda jimbo wananchi wamuonee huruma ili aendelee kuwa mbunge 2015!
kwanini anaongelea jambo LILILO MAHAKAMAN?????
badwel anaonewa. tunafahamu msimamo wake kuhusu uchimbaji wa urani unaotarajiwa kufanyika jimboni kwake hivyo aliwaandaa wananchi wake wasihame bila malipo sasa hiyo imewakera wakubwa ndo maana wanataka wamuondoe ubunge! ninavyomfahamu anamiliki vituo viwili vya mafuta na alikuwa na pesa kabla hajawa mbunge. huo ndo ukweli
Mbunge wa jimbo la Bahi Omar Badwel amesema kesi yake ya rushwa inayo mkabiri imetengenezwa kwa lengo la kumuua kisiasa,amesema njama hizo zimepangwa na wanasiasa na Takukuru Makao makuuu,alisema kama kweli angekua amekula rushwa Chama chake CCM kingechukua hatua kali juu yake lakini kwa kuwa hata CCM imegundua ni uzushi ndio maana yupo salama na anaendelea kuwa Mbunge,"wananchi msiwe na wasiwasi mimi ni mbunge wenu na nitaendelea kuwa Mbunge wenu haya mnayo yaona ni uzushi tu wa wanasiasa na hao wanao jiita Takukuru" kauli hizo alizitoa katika kijiji cha Chibelela na Mwitikila Jimboni Bahi Mkoani Dodoma,akiwa Mwitikila alito laki 5 kwa kikundi cha washonaji nguo na kuwambia kuwa waendelee kumuombea ashinde kesi yake na wafitini wote waumbuke!
Anajaribu kulinda jimbo wananchi wamuonee huruma ili aendelee kuwa mbunge 2015!
Vituo viwili vya mafuta vya Badwel pale kizota sio vya Badwel Omar ni vya mwarabu mwingine kabisa! Kabla hajawa mbunge Badwel Omar alikua diwani Wakati aliwahi kufukuzwa Uenyekiti wa Halmashauri wilaya ya Bahi kwa kosa la kumlazimisha Mkurugenzi wa Bahi amlipe posho miaka miwili mbele,akiwa diwani wa Chipanga alituhumiwa na shirika la World Vision Chipanga kwa kuliibia shirika hilo mifuko 20 ya cement,pia pale Chipanga Badwel alikua na kashifa ya kufanya mapenzi na kijana wa kiume mtoto wa mwalimu wa shule ya msingi akiitwa Noel,pia Badwel mwaka 2003 aliua vijana 3 kwa bunduki akidai walimvamia usiku!
badwel anaonewa. tunafahamu msimamo wake kuhusu uchimbaji wa urani unaotarajiwa kufanyika jimboni kwake hivyo aliwaandaa wananchi wake wasihame bila malipo sasa hiyo imewakera wakubwa ndo maana wanataka wamuondoe ubunge! ninavyomfahamu anamiliki vituo viwili vya mafuta na alikuwa na pesa kabla hajawa mbunge. huo ndo ukweli
nna mashaka na WAGOGO WA BAHI NA WALE WA MTERA
wagogo ni jamii dhaifu sana kimtizamo na hata uelewa!
Naungana na hoja ya Kafulila aliyo sema Mbunge wa Bahi asimamiswe ubunge hadi kesi yake itakapo isha,sasa kwa uzembe huu wa kanuni za bunge na hata udhaifu taratibu za kinidhamu za bunge na CCM ina mpa uhalali wa mwizi kutamba mitaani na kuingia bungeni na kua na jeuri ya kujiona hakuna anae weza kumsumbua!