mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
CUF LiLeR alikosa Mgao?
Itajulikana mahakamani. Hivyo unataka kutuambia kwamba TAKUKURU wamemgeuka Mbunge?
Naam,
Nimeiboresha title na content naona mwenzetu amesahau kama hii ni JF.
Lakini, kiasi chenyewe inadaiwa hakifikii hata 5mil, achilia mbali 7mil. What a shame?
View attachment 55358
Hebu mwanangalieni huyu mla rushwa macho yake yalivyokaa kiwizi
Sasa kuna uhusiano gani kati ya kutotosha posho na ulaji wa rushwa?
Watu wanapopotosha ukweli, nilivyosikia mimi ni kuwa Badwel ndiye aliyewajulisha TAKUKURU kuwa kuna watu wanataka kumhonga na akawapa saa na mahala walipoahidiana kukutana. Sasa vipi tena kibao kigeuzwe kwake?
Jamani anieleweshe kati zomba na Mfungo (aliyenukuliwa na mtoa habari) nani yuko sahihi?.
Mfungo aliliambia Mwananchi Jumapili kuwa wanaendelea kumshikilia huku wakati wanafanya uchunguzi hadi kesho ambapo watamfikisha mahakamani.
"Siwezi kumataja aliyekuwa akitoa rushwa kwa sababu bado tunaendelea na upelelezi, ila mpaka sasa yuko mahabusu na tutamfikisha mahakamani Jumatatu(kesho)," alisema Mfungo.
Alisema kuwa mbali na kumfikisha mahakamani, pia watatoa taarifa zaidi za tukio hilo kesho.
Sasa kuna uhusiano gani kati ya kutotosha posho na ulaji wa rushwa?
Si unajua sasa hivi hakuna vikao vya mjengoni sasa angepeta wapi hela za kujikimu!.Hata mimi nimeshindwa kuconnect dots ...........dot..............
Ni aibu sana kwa Mbunge kushtakiwa kwa rushwa ya 5 Mil. This is Tanzania bwana