Kwa sasa rushwa ni jambo la kawaida, kama ilivyo kawaida kuiba rasilimali za umma.
Akikamatwa mmoja inaonekana amehujumiwa tu, kwani kila mmoja nae anakula.
Ukilalamikia rushwa unaonekana kituko kabisa!
Bila kuondoa mfumo mzima itabaki hivihivi, kama haijaongezeka.....
Akikamatwa mmoja inaonekana amehujumiwa tu, kwani kila mmoja nae anakula.
Ukilalamikia rushwa unaonekana kituko kabisa!
Bila kuondoa mfumo mzima itabaki hivihivi, kama haijaongezeka.....