Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Mbunge wa jimbo la babati mjini Mkoani manyara Mhe. Pauline Gekul pamoja na naibu waziri wa Maji Mhe. Izack Kamwele wamefanya ziara katika bonde la Maisaka,kiongozi na kijiji cha Singu ili kutatua kero za maji zinazowakabili wanakijiji hao.
"Vijiji vya singu,sigino na daghailoi tutaviweka katika bajeti ya mwakani ya mwaka wa fedha ili vipate maji" aliyasema hayo naibu waziri wa maji,vilevile Mbunge wa jimbo hilo aliwaeleza wanakijiji hao wasiwe na hofu kwani ahadi zao zinatekelezeka.
"Vijiji vya singu,sigino na daghailoi tutaviweka katika bajeti ya mwakani ya mwaka wa fedha ili vipate maji" aliyasema hayo naibu waziri wa maji,vilevile Mbunge wa jimbo hilo aliwaeleza wanakijiji hao wasiwe na hofu kwani ahadi zao zinatekelezeka.