snochet
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 1,407
- 1,110
lazima kuna sababu,kukosa mdhamana kwa mtu kama lema hapa arusha ni kama kukosa bidhaa ya bakhressa dar,ma-don wa tanzanite wangeweza kuchanga hata kama wangetaka kabillioni cha haraka....hizi ni siasa tu za bongo...mwaka huu mtakoma...hatubadiliki ng'o!!!