Unafikiri hao ma DC wanafanya hivyoo bila go ahead ya mzee?Hawa ma DC Mbona wana muaibisha sana Rais magufuli amewaamini kawapa madaraka lakini wana fanya jina lake litukanwe na kukashifiwa kila siku kutokana na akili zao zilivyo sijui kwanini wana mtukanisha na kumtilia aibu rais kila uchwao na hapo ndipo upinzani hujichukulia point ni aibu kuitwa mwana wa nchi hii.
You only need 4 minutes without oxygen to die...7 minutes is more than enough!Hizi dakika 7 zimechelewesha sana ujenzi wa viwanda.
Lema akikaa jela masaa 24 vitajengeka viwanda 100 upesi kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapinzani ni nani?Wewe kama unaguswa na uonevu wowote waambie wasikie?Ninachojua,mambo haya huenda yanafanyika kwa sababu maalum!Mungu anataka tujifunze jambo fulani!Aliufanya mgumu moyo wa Farao lakini mwisho alimpiga yeye mwenyewe.Tuombe Mungu tu kwani yeye pekee anajua tutatokea wapi!Zaidi hatuna sababu ya kupigana vita vya kinjekitile wakati tunajua matokeo yake.Tusimame katika zamu yetu,Mungu atajibu kwa wakati wake.upinzani tatizo mmekuwa kondoo mno. kwa nini msikinukishe? kwani watu hufa mara mbili?
Hata Uganda baada ya Idd Amin nchi ilikuwa inachekesha kwa hiyo huyu chizi akimaliza muda wake mtaleta marejesho mtu alitakiwa awe mirembeDown fall of Tanzania
Wapo waliokula 10% ununuzi wa ndege za awali na hiyo pia wapo na hawana vyetiWanahangaika na muda ambao hauna hasara kwa watanzani lakini watu waliosababisha ndege yetu kumatwa wanatembea kwa escort ya polisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu siyo kila kitu cha kutetea tunamuharibia sifa Rais wetu. Kuzidisha dakika 7 siyo kwa kushikiliwa hivyo na polisi.Habari kama mtu hatii sheria.. mnapenda kuona yanawatokea wananchi na kuwa wapinzani hampiganii zaidi ya kuvizia matamko ya serikali kutafuta kiki.
Sasa mtanyooka tu hadi muelewe kuwa kuna sheria na inabidi kuzitii.
Awamu hii kila mtu atanyooka.. bora mjifunze kuacha ugangwe hata tuwaone mnasaidia kuleta maendeleo ya wananchi.
Njia pekee ni chadema kupanda ndege waende UN na mahakama ya Uhalifu na haki za binadamu The Hague wakaishitaki serikali ya Tanzania kinyume na hapo Wapinzani wote watafungwa makusudi kwa kukomoana mpaka waisheIfike pahala tuingiwe hata na soni..
Hii ni aibu!