‪Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema akamatwa na Polisi kwa madai ya kuzidisha muda wa mkutano‬

Habari kama mtu hatii sheria.. mnapenda kuona yanawatokea wananchi na kuwa wapinzani hampiganii zaidi ya kuvizia matamko ya serikali kutafuta kiki.

Sasa mtanyooka tu hadi muelewe kuwa kuna sheria na inabidi kuzitii.

Awamu hii kila mtu atanyooka.. bora mjifunze kuacha ugangwe hata tuwaone mnasaidia kuleta maendeleo ya wananchi.
Hivi toka huyu jamaa kawa rais ni maendeleo gani Tanzania inayo au kati ya mtu mmoja? Uwezo kujikimu hata mm nipataye gross ya 2.5mil unashuka kila kukicha.
 
mbona mambo ya ujima sana yaani mtu mwizi wa fedha za rambi rambi kama Gambo kashushuliwa na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro hasira zake anataka kumalizia Lema kwa kosa lipi sasa kwani huo ulikuwa mkutano wa uchaguzi jamani mbona Magufuli anaanzisha the failed state
 
Hivi toka huyu jamaa kawa rais ni maendeleo gani Tanzania inayo au kati ya mtu mmoja? Uwezo kujikimu hata mm nipataye gross ya 2.5mil unashuka kila kukicha.
he is a lost case badala ya kuongeza uchumi wa nchi yeye anapambana na chadema alitegemea kukataza maandamano mikutano chama kitakufa ndio maana anaona hata wale waliokuwa sio wapenzi wa chadema sasa ndio wanakuwa
 
Lema ndio atapata fonti-fodi na si hao walimkamata,anamfukuzia lissu kwa rekodi ukiachilia Mandela,Hawa jamaa ndio wale waliosemwa na Nyerere wataikomboa Tz
 
Habari kama mtu hatii sheria.. mnapenda kuona yanawatokea wananchi na kuwa wapinzani hampiganii zaidi ya kuvizia matamko ya serikali kutafuta kiki.

Sasa mtanyooka tu hadi muelewe kuwa kuna sheria na inabidi kuzitii.

Awamu hii kila mtu atanyooka.. bora mjifunze kuacha ugangwe hata tuwaone mnasaidia kuleta maendeleo ya wananchi.
Kama kawaida yako. Umechangia kwa hisia.
 
Ha ha ha haaaaaa

Kwani vipeeeeeee eti kawaida yangu eeeeeh. Angekuwa mwananchi kakamatwa mngeshangilia na kuwasifia polisi kwa jinsi ushabiki wenu ulivyo.
Mimi sio shabiki. Na kukamatwa kwa Lema si kosa. Utaratibu wa kumkamata ndo Haukuwa sahihi. Wangemwambia kesho akaripoti saa 2 asubuhi polisi.
 
Kama kuna taasisi mbovu zaidi katika nchi yetu, Polisi huenda ndio inaongoza.

Huku kukamata kamata wanasiasa wa Upinzani Ovyo ovyo kuna lipunguzia heshima jeshi letu la Polisi. Ni kuupa upinzani nguvu, hoja na umaarufu. Wananchi wengi hawafurahishwi na mwenendo huo.

Heshima ya Jeshi la Polisi inaweza kurejeshwa kwa kufanya haya...

1/Kuacha kabisa Kutumika kisiasa.
(Mambo ya wanasiasa yabakie kwa wanasiasa wenyewe, waachwe washindane kwenye majukwaa yao ya siasa).

2/Kuacha kukamata watu ovyo na kuwabambikizia Kesi.

3/Kuacha kabisa kukamata watu kwa nguvu, kutesa, kuweka watu rumande ovyo ovyo.

4/Lijikite kupambana na uharifu na waharifu, kuliko kutwa kupambana na raia wanyonge, Wapinzani nk.

5/Lianze kutumia zaidi Akili na Busara kuliko kutumia Nguvu na Ujinga.
 
Hawa ma DC Mbona wana muaibisha sana Rais magufuli amewaamini kawapa madaraka lakini wana fanya jina lake litukanwe na kukashifiwa kila siku kutokana na akili zao zilivyo sijui kwanini wana mtukanisha na kumtilia aibu rais kila uchwao na hapo ndipo upinzani hujichukulia point ni aibu kuitwa mwana wa nchi hii.
Wanamuaibisha vipi wakati hayo ni maagizo yake?

Hivi hujawahi kuwasikia Polisi mara kwa mara wakisema wamemkamata Kiongozi fulani wa upinzani kutokana na maagizo toka juu?

Hivi unadhani huko juu ni Mbinguni?

La hasha, ukisikia hivyo ujue hayo ni maagizo toka kwenye yule "mmiliki" wa Jengo lililopo pale Magogoni....
 
Uchumi umewashinda halafu hasira zao wanaziharibu kwenye kamatakamata. Mzee wa Korosho umeleta shida sana nchi hii. Haina tofauti tena na Burundi au Congo. Wabantu shida sana.
 
Back
Top Bottom