‪Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema akamatwa na Polisi kwa madai ya kuzidisha muda wa mkutano‬

Mmhh jamanii kila MTU anatafta kuonekana anafanya kazi lakini sio kwa ivi wanavofanya duuu apo wameshindwa kufikiria
 
Sasa huu ni utawala uliofitinika! hiki kiza kinene kilichotanda nchini ni mpango wa shetani kabisa na Malaika wa Mungu tyr ametupa kisogo naapa!
 
Kuzingatia MUDA.
Jipige vibao vya uso kama kulia umeshindwa ili ulie.
Awamu hii tutaona maajabu, nchi inatakiwa majimbo mengine yajitenge, akili zetu zinazidi kuwa ndogo kwa kuwa na watu wa mipasho. Kumbuka visasi havileti maendeleo, sasa ndio nimeamini kwa nini mkoloni hakujenga shule usukumani na umakondeni
 
You only need 4 minutes without oxygen to die...7 minutes is more than enough![/QUOTE Sasa tunahitaji viongozi wenye akili wanyenyekevu busara na hekima kuongoza nchi tuwe wakweli mambo mengine yanayofanyika sasa hivi yanachafua ccm mbele ya wanachama. Tusonge mbele kwa maendeleo sio kuwa na kesi zisizo na tija
 
3. Halafu Lema si mbunge? Kwanini OCD asingempigia simu aende mwenyewe kituoni? Kulikua na haja gani ya kutumia nguvu kubwa kama kupambana na jambazi? Hivi ingetokea ajali kutokana na kadhia hiyo ya polisi kublock barabara ghafla ingekuaje? Mbona busara haijatumika hapa?
Hi ni matumizi mabaya ya rasilimali tulizonazo
 
Mi naona wanatafuta namna nyingine ya kuzuia mikutano kwa wabunge katika maeneo yao

mara ya kwanza wakasema kila moja afanye mikutano katika eneo/jimbo lake
 
Updates ikoje? Walimuachia au imekuwaje???

Mbunge wa Arusha mjini Mhe.Godbles Lema amekamatwa na jeshi la polisi mkoani humo kwa madai ya kuzidisha muda katika mkutano wake kwa dakika saba (07).

Polisi wanadai Lema amemaliza mkutano saa 12:7 jioni badala ya saa 12:00 kamili kama ilivyo utaratibu.

Polisi "wamemblock" Lema katika "keepleft" cha mnara wa saa kwa kusimamisha gari mbili (moja mbele na nyingine nyuma), kisha kuingia katika gari ya Lema na kumuelekeza kituo kikuu cha polisi (central).

Hali hii imesababisha foleni kubwa kwenye barabara zinazoingia katikati ya mji.
 
Kama ni kweli hii awamu inatumikia laana na maana imelaanika Mungu ajapendezwa nayo
 
Alipewa muda wa kufunga mkutano ni sahihi akamatwe kama amezidisha.

Kama alijua ana mambo mengi ya kusema angeanza saa Nane mchana au mapema. Tatizo hatuangalii obligations and moral responsibilities, bali tunalaumu tu kuwa mtu kakamatwa.

Labda , tuanze kulinganisha sasa na mikutano ya wapinzani na wabunge wa ccm kama wao ccm watazidisha muda na wasikamatwe hapo tuanze kulaumu hiki ndicho kipimo.
ccm wao wanafanya mikutano mpaka saa moja hakuna wa kuwasumbua
 
Police wana wajibu wa kusimamia kutekelezwa kwa sheria kwa kutumia weledi na busara ya kawaida. Kwa hili kuna zaidi ya hayo. Siamini police aliekuwepo mkutanoni alishindwa kutoa agizo la kwisha kwa mkutano kwa vile muda uliisha au kumkamata kama angeendelea. Ikisemwa ni maagizo itadaiwa ni uchochezi.
 
Awamu hii tutaona maajabu, nchi inatakiwa majimbo mengine yajitenge, akili zetu zinazidi kuwa ndogo kwa kuwa na watu wa mipasho. Kumbuka visasi havileti maendeleo, sasa ndio nimeamini kwa nini mkoloni hakujenga shule usukumani na umakondeni
Njia pekee iliyosalia chadema kujiokoa na visasi vya Mtukufu malaika wa chato ni kwenda kumshitaki The Hague
 
Alikuwa na hamu ya kurudishwa rumande tu, labda kuna kitu kakikumbuka, kwa nini asiheshimu muda? Any way, alikuwa anaongelea na yeye ishu ya kuwalipa wazungu or?
Lazima utakuwa mmoja Wa wale Kigwangwala aliosema atawashughulikia
 
Mbunge wa Arusha mjini Mhe.Godbles Lema amekamatwa na jeshi la polisi mkoani humo kwa madai ya kuzidisha muda katika mkutano wake kwa dakika saba (07).

Polisi wanadai Lema amemaliza mkutano saa 12:7 jioni badala ya saa 12:00 kamili kama ilivyo utaratibu.

Polisi "wamemblock" Lema katika "keepleft" cha mnara wa saa kwa kusimamisha gari mbili (moja mbele na nyingine nyuma), kisha kuingia katika gari ya Lema na kumuelekeza kituo kikuu cha polisi (central).

Hali hii imesababisha foleni kubwa kwenye barabara zinazoingia katikati ya mji.
Wanatumia Lasilimali vibaya
 
Hata kama angemaliza mkutano saa 11:50 angekamatwa kwa kutofuata taratibu. dakika 7 hata ndege huwa zinachelewa hata ibada tena polisi ndo wanaoongoza kuchelewa kufika kwenye matukio ila leo wanajidai wako PERFECT; Mungu atawahukumu wote wanaotumia nyadhifa zao kukandamiza wengine. Tunaamini Mungu atajibu maombi yetu kwani sisi ndo tulio wengi. Wanaumia kimya kimya kutokana na huu ukandamizaji ni wengi kuliko wanotokeza humu. majibu yakewatayapata UCHAGUZI WA 2020.
 
Back
Top Bottom