M MSAKA-UHURU Member Sep 5, 2012 12 0 Sep 18, 2012 #81 Ndg wanajf ni lazima tujue kuwa ziara ya mwenge ni mrad wa kuingza kipato kwa wa2 wachache, ivo huwez kuzuia kwa maneno
Ndg wanajf ni lazima tujue kuwa ziara ya mwenge ni mrad wa kuingza kipato kwa wa2 wachache, ivo huwez kuzuia kwa maneno
marejesho JF-Expert Member Jan 6, 2011 6,635 3,655 Sep 19, 2012 #82 Tatizo lao sio wabunifu.. Wameng'ang'ania vitu vilivyokuwa na mantiki miaka ile...
bushman JF-Expert Member Nov 1, 2010 2,411 743 Sep 19, 2012 #83 Safi sana,wanataka watu wakusanyike wacheze kwaito baada ya hapo waambukizane ukimwi,safi sana!!!!!!!!
Safi sana,wanataka watu wakusanyike wacheze kwaito baada ya hapo waambukizane ukimwi,safi sana!!!!!!!!