PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 877
- 955
Mbunge wa Viti Maalum Vijana Mhe. Asia Halamga anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi kwenye Uzinduzi wa Vijana Jogging Club Mkoa wa Kilimanjaro ambao utafanyika Jumamosi Tarehe 07 August 2021 yenye Kauli Mbiu "Amani Yetu, Maisha Yetu, Chukua Tahadhari Dhidi ya UVIKO-19"