Chizi Fureshi
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 1,718
- 457
Mh hana vigezo kasingizia kuumwa..kanisa limedai hakuwakilisha vyeti muhimu ikiwa ni pamoja na vya ubatizo na mafundisho. Alijua fika km hakutakuwa na hiyo ndoa. Habari ndio hiyo..!!!!!!
Chinibya kapeti zinasema kuwa kawekewa pingamizi.
Mwanaume ni mume wa mtu.....mkewe kaweka pingamizi.....
Jamani wazee wa umbea wa mjini humu mbona mnaniangusha? Mie nilijua nitakuta data kamili zilizothibitishwa na tbs
Chinibya kapeti zinasema kuwa kawekewa pingamizi.
Mwanaume ni mume wa mtu.....mkewe kaweka pingamizi.....
Jamani wazee wa umbea wa mjini humu mbona mnaniangusha? Mie nilijua nitakuta data kamili zilizothibitishwa na tbs
hahahahahahahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
hii ni habari njema kwa dunia ya wastaarabu na wakweli ambao wanawake huwa hawapendi watu wakweli.Blogu ya Wananchi imepata ripoti ifuatayo sasa hivi:- kwamba ile harusi ya the Century iliyokuwa ifanyike leo Kempisk Hotel baina ya Mbunge Maarufu wa Viti Maalum CCM Mh. Vicky Kamata imepiga mwamba kutokana na ukweli kujulikana dakika ya mwisho jana kwamba Mchumba wake Mheshimiwa Mbunge ni Tapeli wa ajabu hapa nchini amabye amekuwa akiwadanganya sana kina dada wenye utajiri na kwamba Mh. Vicky Kamata anakuwa ni Mbebez wa tatu kutapeliwa na Mchumba huyu pichani. Ripoti inasema kwamba Juzi Mke wa kweli wa Mchumba huyo alijitokeza na hati zake Kanisani Catholic kwa Wachungaji waliomfahamisha Mchumba kwamba hakutakuwa na tendo la kufunga Ndoa Kanisani ndipo Mvumba huyo bwana Charles akatimka na jumla ya pesa za mchango wa harusi hiyo Shillingi Millioni 40. Jumla zilikuwa zimeshachangwa Shillingi Millioni 100, tayari USD $ 15,000 zilikuwa zimeshalipiwa kwa ajili ya Ukumbi wa Kempisk Hotel, tayari wageni waalikwa toka Geita walioshiriki kumchagua Mbunge huyo walishafika Dar wapo hapa, na cha kutisha zaidi ni kwamba Mheshimiwa Mbunge toka jana asubuhi ameshindwa kabisa kumpata mchumba huyo kwenye simu zake zote zimezimwa hazipatikani kabisa. Inasemekana baadhi ya Wabunge waliomchangia kwa kiwango kikubwa sana wameanza kulalamika kwa pembeni kwamba wanataka sana kurudishiwa michango yao.
NUKUU TOKA KWA LEMUTUZ
Blogu ya Wananchi imepata ripoti ifuatayo sasa hivi:- kwamba ile harusi ya the Century iliyokuwa ifanyike leo Kempisk Hotel baina ya Mbunge Maarufu wa Viti Maalum CCM Mh. Vicky Kamata imepiga mwamba kutokana na ukweli kujulikana dakika ya mwisho jana kwamba Mchumba wake Mheshimiwa Mbunge ni Tapeli wa ajabu hapa nchini amabye amekuwa akiwadanganya sana kina dada wenye utajiri na kwamba Mh. Vicky Kamata anakuwa ni Mbebez wa tatu kutapeliwa na Mchumba huyu pichani. Ripoti inasema kwamba Juzi Mke wa kweli wa Mchumba huyo alijitokeza na hati zake Kanisani Catholic kwa Wachungaji waliomfahamisha Mchumba kwamba hakutakuwa na tendo la kufunga Ndoa Kanisani ndipo Mvumba huyo bwana Charles akatimka na jumla ya pesa za mchango wa harusi hiyo Shillingi Millioni 40. Jumla zilikuwa zimeshachangwa Shillingi Millioni 100, tayari USD $ 15,000 zilikuwa zimeshalipiwa kwa ajili ya Ukumbi wa Kempisk Hotel, tayari wageni waalikwa toka Geita walioshiriki kumchagua Mbunge huyo walishafika Dar wapo hapa, na cha kutisha zaidi ni kwamba Mheshimiwa Mbunge toka jana asubuhi ameshindwa kabisa kumpata mchumba huyo kwenye simu zake zote zimezimwa hazipatikani kabisa. Inasemekana baadhi ya Wabunge waliomchangia kwa kiwango kikubwa sana wameanza kulalamika kwa pembeni kwamba wanataka sana kurudishiwa michango yao.
NUKUU TOKA KWA LEMUTUZ
hii ni habari njema kwa dunia ya wastaarabu na wakweli ambao wanawake huwa hawapendi watu wakweli.
hii ni habari njema kwa dunia ya wastaarabu na wakweli ambao wanawake huwa hawapendi watu wakweli.
Mbona majangaaaaaa!!!!!!!
May 24 si ndio Leo..mmmh ebu nipite mie