Hata mimi ningeweka kipingamizii tuuu, su ni mme wakeeee
Huyo hasaa ndio ana fit,maana ana maneno ya fedhuli hasa!!!
Dude......halafu vicky= wolper.......heeeheeee
Story ipi?
JANA ILIKUWA NANI ALAUMIWE NA NIKASEMA VICKY HANA KOSA COZ NAMJUA HUYU BABA NI VAMPIRE KITAMBOOO!
LEO NIMELETAN SIDE B YA MKE MTU, MAANA WATU MLIKUWA MNAPAYUKA MSIVOVIJUA!
Una swali lingine? Uaminimlipi KWANI LIPI LIMEBADILIKA?
Ndo mkewe kusikia anaoa kama sisi wengine! waambiwa yupo ndani alia tu yakheee! inatia imani, wala hizo nguvu za kwenda kufanya fujo sijui vurugu sijui kisasi hanaaa! Analia na Mungu wake tu! mjini kuna mambo!
I dont remember officially EVER LIKE EVER inviting you to read or comment in any of my threads! AND IT WILL NEVER HAPPEN!
kilichokufungulisha thread!
:Huyu mke halali bwana ni kweli alifunga ndoa na huyo bwana si kanisani ila bomani, back in the days kitambo sanaa like a decade ago!:
Mume aliye kuwa mtarajiwa wa Vicky ana umri gani?
Mkuu umenikumbusha style za masanja mkandamizaji...P....vu kabisa, na wewe kuja hapa, wewe camera man kuja hapa pu..vu kabis......hahahaaaa.hivi kwa jinsi unavyoonekana wewe ni mtu mzima maybe 45,sasa ulitegemea nini ku date mwanamke mwingine na una mke na watoto?hivi kumbe siku hizi utu uzima siyo dawa?pambafu kabisa,na wewe Vicky desperation za nini???kama upo desperate na ndoa unaonyesha watu???sasa umeingia chaka???pambafu na wewe,