Pagan Amum
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 1,932
- 4,395
Ikiwa ni kujali wananchi wa Mkoa wake, Mbunge wa Viti Maalum Geita CHADEMA leo katoa misaada yenye thamani ya zaidi ya million 14 kwa kutoa uniform kwa bodaboda na Helment, pamoja na kugaza jezi mbalimbali kwa vijana..
Mytake:. Mbunge wa sasa wa Geita Mjini akae mguu pande. 2020 anawesa kungo'ka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mytake:. Mbunge wa sasa wa Geita Mjini akae mguu pande. 2020 anawesa kungo'ka.
Sent using Jamii Forums mobile app