MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,744
- 48,332
Huyu waziri alisemekana kufichwa kwenye hospitali isiyo maalum kwa shughuli za Corona huku akiwaambukiza watu, kuna Watanzania walikesha humu wakikanusha kwamba hamna chochote kama hicho, ila kelele zilipozidi, akaondolewa kwa kasi na kupelekwa waliko waathirika wengine.
Sasa mambo yamezidi kutokota hadi bungeni na maombi yamefanywa na mmojawapo wa wabunge kwamba ifanywe kama Kenya, akipona tu akutane na pingu kama ilivyokua kwa naibu gavana aliyezingua kihivyo.
Sasa mambo yamezidi kutokota hadi bungeni na maombi yamefanywa na mmojawapo wa wabunge kwamba ifanywe kama Kenya, akipona tu akutane na pingu kama ilivyokua kwa naibu gavana aliyezingua kihivyo.