johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,904
- 141,853
Akihojiwa na Salama Jabir mbunge wa Morogoro kusini mashariki Hamis Taletale aka Babu Tale alisema yeye ni darasa la saba lakini alijiendeleza kidogo
Babu Tale alisema alipokutana na hayati Magufuli aliulizwa mbona unafanya mambo makubwa una elimu gani? Babu Tale akamjibu ana Masters.
Source Eatv
My take; Masihara tunapoongea na viongozi siyo mazuri unaweza kuteuliwa.
Maendeleo hayana vyama!
Babu Tale alisema alipokutana na hayati Magufuli aliulizwa mbona unafanya mambo makubwa una elimu gani? Babu Tale akamjibu ana Masters.
Source Eatv
My take; Masihara tunapoongea na viongozi siyo mazuri unaweza kuteuliwa.
Maendeleo hayana vyama!