Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,710
- 93,456
Ni budget ya mkoa mzima kwa mwaka hiyoHata bilioni 70 kujenga jengo la halmashauri sii kweli ni hela nyingi sana
Ni budget ya mkoa mzima kwa mwaka hiyoHata bilioni 70 kujenga jengo la halmashauri sii kweli ni hela nyingi sana
Mfumo mbovu hii hahiitaji RaisiMbunge wa jimbo la Sengerema mh Khamis Tabasamu amemtumia video Rais Samia Suluhu inayoonyesha ufisadi wa zaidi ya billioni 70.3 zilizotolewa kwa ajili ya ujenzi wa jengo la halimashauri hiyo.
Picha zinaonyesha ujenzi wa ghorofa hilo unaendelea huku kumbe msingi haukujengewa wala kuchimbwa kama inavyotakiwa badala yake ni nondo tu zimesukwa kwa juu yake!
Mh Tabasamu amsema si Takukuru, wala mkuu wa mkoa wala wilaya wanaohangaika na ufisadi huo.
.https://youtu.be/loKyT6CareI
Mliberali hapa umenena. Watanzania bila kujitambua tumelemazwa akili vibaya sana hata walio na mfumo wa kilfalme hawajalemaa kiasi tulicholemazwa. Huwezi kusikia Uingereza, Canada, Japan nk jambo kama hili likimsubiri au akipelekewa Malkia/Mfalme kuombwa awashughulikie wahusika. Ni aibu iliyoje. Halafu kiongozi mwingine anafanya jambo la hovyo anapoulizwa sababu anawajibu wananchi ni maagizo kutoka juu! Mfumo mbovu sasa umezaa akili mbovu na sasa, Mungu atuepushe, tunaelekea ushetanini kabisa. INASIKITISHA!Mfumo mbovu hii hahiitaji Raisi
Labda na lenyewe linakuwa jengo kweli hilo siyo masihara.Labda Milioni 700?
Duh!Nadhan ame edit baada ya kuona hilo aliandika bil 700 mkuu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ni milioni 700 siyo bilioni 770 Bilioni? mhhh au milioni 70?
Ndio maana hawataki wapinzani waingie bungeni. Ili waibe hadi senti ya mwishoCCM ni wezi wa mali ya umma.
Anaitambulisha nchi yetu kimataifa zaidi...akisaidiana na Balozi Mulamula...Kwa mujibu wa Abdalla Bulembo!Msimsumbue. Anajenga uchumi na kufungua nchi kwanza.
My lordMbunge wa jimbo la Sengerema mh Khamis Tabasamu amemtumia video Rais Samia Suluhu inayoonyesha ufisadi wa zaidi ya billioni 70.3 zilizotolewa kwa ajili ya ujenzi wa jengo la halimashauri hiyo.
Picha zinaonyesha ujenzi wa ghorofa hilo unaendelea huku kumbe msingi haukujengewa wala kuchimbwa kama inavyotakiwa badala yake ni nondo tu zimesukwa kwa juu yake!
Mh Tabasamu amsema si Takukuru, wala mkuu wa mkoa wala wilaya wanaohangaika na ufisadi huo.
.https://youtu.be/loKyT6CareI
Kwa nini kamtumia Rais?Mbunge wa jimbo la Sengerema mh Khamis Tabasamu amemtumia video Rais Samia Suluhu inayoonyesha ufisadi wa zaidi ya billioni 70.3 zilizotolewa kwa ajili ya ujenzi wa jengo la halimashauri hiyo.
Picha zinaonyesha ujenzi wa ghorofa hilo unaendelea huku kumbe msingi haukujengewa wala kuchimbwa kama inavyotakiwa badala yake ni nondo tu zimesukwa kwa juu yake!
Mh Tabasamu amsema si Takukuru, wala mkuu wa mkoa wala wilaya wanaohangaika na ufisadi huo.
.https://youtu.be/loKyT6CareI