The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,137
Rais ndio Takukuru? Huko hakuna viongozi? Rais ataenda kila Halmashauri kuzuia ufisadi?Mbunge wa jimbo la Sengerema mh Khamis Tabasamu amemtumia video Rais Samia Suluhu inayoonyesha ufisadi wa zaidi ya millioni 700 zilizotolewa kwa ajili ya ujenzi wa jengo la halimashauri hiyo.
Picha zinaonyesha ujenzi wa ghorofa hilo unaendelea huku kumbe msingi haukujengewa wala kuchimbwa kama inavyotakiwa badala yake ni nondo tu zimesukwa kwa juu yake!
Mh Tabasamu amsema si Takukuru, wala mkuu wa mkoa wala wilaya wanaohangaika na ufisadi huo.
.https://youtu.be/loKyT6CareI