johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Mbunge wa Nyasa Stella Manyanya amemuomba Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga taif mh Kuandikwa kuwafikiria walemavu ili nao watumike jeshini katika maeneo ya kutumia akili kama Tehama
Manyanya amesema ajira za jeshi huwa haziwafikirii walemavu na amemwomba Waziri awasaidie.
Chanzo: ITV habari
Kazi Iendelee!
Manyanya amesema ajira za jeshi huwa haziwafikirii walemavu na amemwomba Waziri awasaidie.
Chanzo: ITV habari
Kazi Iendelee!