ShkamooTutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tulijikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Kwa jina laJamhuri ya Muungano wa Tanzania.Shkamoo
Katiba sio tatizo. Tatizo, nakubaliana na Gwajima aliyoyaongea leo bungeni, "nchi haina vision"Bora hata ww uliyaona bibi, sasa tuungane kudai katiba mpya itakayotuepusha kuja kutawaliwa kidhalimu tena huko mbeleni.
Baada ya kusitisha huo mkataba ( kama ni kweli) walichukua hatua gani? Anatoa majibu mepesi kwa maswali magumu.Kwanini?
I salute you. Heshima kwako bibi yetu.Tutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tulijikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Mzee Abdul Ghafur wa Abraar Bricks Nyumba kwa Wote anasema, kila tatizo ni fursa. Nakubaliana nae. Msome hapa: Kazi za Ufundi Ujenzi kwa Vijana waliomaliza JKT, waliojifunza vyuo vya Magereza, Jeshi au VETA wajitokezeKukaa kimya wakati ulijua kuna shida mahali hukukemea basi wewe ni tatizo pia
CCM ndio haina vision!Katiba sio tatizo. Tatizo, nakubaliana na Gwajima aliyoyaongea leo bungeni, "nchi haina vision"
Bado una mawazo ya kitumwa.1. Kutopewa cheo
2. Dini ya Rais
Hivi vitu vilitufanya tusimuunge mkono.sasa nadhani tunaweza rudi tena kutetea mwenzetu.
Anasema malaika jiwe kafa kibudu kabla ya aliotaka kuwatanguliza kwa green guardDalali wa AstraZeneca anasemaje?
Si malaika alimaliza ufisadi au na wewe umeanza kutumika na mabeberu ?Kalemani kweli unatetea ufisadi!Jitathmini.
Kwanza kutoitaja kampuni husika ni kutokuwatendea haki watanzania.Wapi! Hamna cha wasiwasi, enzi hizi zishaenda na mwendazake
Bimkubwa alipoona jina JOHN akaamua kabisa kukimbilia msoga kujificha.Bora hata ww uliyaona bibi, sasa tuungane kudai katiba mpya itakayotuepusha kuja kutawaliwa kidhalimu tena huko mbeleni.
AstraZeneca inasababisha damu, hasa ya kwenye ubongo, kuganda. No matter madalali wake mpo hivi.Anasema malaika jiwe kafa kibudu kabla ya aliotaka kuwatanguliza kwa green guard
Wewe umetoka lini huku niliko?Bado una mawazo ya kitumwa.
Mamangu nimekumiss hadi nikakuuliza .Tutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tulijikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Kumbe ulitishwaTutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tulijikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.