Mbunge Shabiby aibua ufisadi wa kutisha EWURA, Waziri wa Nishati Kalemani asema walishavunja mkataba na kampuni fisadi

Tutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.


Ni heri wabwabwajaji tulijikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.

Bora hata ww uliyaona bibi, sasa tuungane kudai katiba mpya itakayotuepusha kuja kutawaliwa kidhalimu tena huko mbeleni.
 
Mbunge wa Gairo mh Shabiby amesema kuna kampuni inalipwa kati ya sh bilioni 5 hadi 7 kila mwezi kwa kazi ya kuweka rangi kwenye mafuta yanayotumika nchini.

Shabiby amesema fee hizo ni nyingi mno kulinganisha na kazi ndogo sana inayofanywa na kwamba kazi hiyo ingeweza kufanywa bure na TBS

Shabiby kasema kazi hiyo wamepewa kampuni binafsi ambayo inatupiga haswa.

Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini mh Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiendelea na kazi hiyo ya kitapeli

Source: ITV habari

Ramadhan Kareem!
Yaani kuna mambo yanavyoripotiwa na jinsi yalivyo kama huyajui vizuri unaweza kujikuta umepata deppression.

Hiyo kampuni naifahamu na in a wafanyakazi wengi tu lakini humu kama hawapajui. Ila bongo kuna siri aisee!!
 
Yaani kuna mambo yanavyoripotiwa na jinsi yalivyo kama huyajui vizuri unaweza kujikuta umepata deppression.

Hiyo kampuni naifahamu na in a wafanyakazi wengi tu lakini humu kama hawapajui. Ila bongo kuna siri aisee!!
Inaitwaje bwashee?
 
Acheni kumsakama Mhe. Shabiby baada ya kuwaumbua!! Mlikuwa wapi siku zote? Hivi kuna dhambi gani Mbunge kuwa Mfanyibiashara aliyepewa tenda na Bunge kuwasafirisha Wabunge wa Kamati za Bunge??CCM ACHENI UNGESE NA UNAFIKI....!! Kwanini Mbunge akiweka waxi madudu yenu anaonekana adui na msaliti??
Wakti Bunge chini ya Ndugai wanampa hiyo Tenda Jiwe hakuwepo??
hiyo tenda ya kusafirisha uliiona wapi?
ilitangazwa watu wagombee wote kwa haki?MATAGA mtakufa mdomo wazi.
 
Mbona kampuni aliyosema Shabiby nchi hii ipo moja tu, why watu wanashindwa kuijua. Kampuni ina miaka zaidi ya 10 wanaongea leo utafikiri imekuja juzi wakati kila mara EWURA huwa wanaiongezea tenda.
Bwashee mbona unaogopa hata kuitaja tu?!!
 
Mbunge wa Gairo mh Shabiby amesema kuna kampuni inalipwa kati ya sh bilioni 5 hadi aju7 kila mwezi kwa kazi ya kuweka rangi kwenye mafuta yanayotumika nchini.

Shabiby amesema fee hizo ni nyingi mno kulinganisha na kazi ndogo sana inayofanywa na kwamba kazi hiyo ingeweza kufanywa bure na TBS

Shabiby kasema kazi hiyo wamepewa kampuni binafsi ambayo inatupiga haswa.

Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini mh Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiendelea na kazi hiyo ya kitapeli

Chanzo: ITV habari

Ramadhan Kareem!
haya semaneni sana, yaani tutajua mengi baada ya mwendazake kuzuia watu wasiongee kwa miaka 6 mfululizo - Fungukeni msiogope Mama yupo atawaamulia...
 
Kuna kutafutana mzee. Hukusikia Lake Oil wakitaka kumpa hela Melo awape data za mtu aliyewalipua humu JF na mpaka leo wana kesi mahakamani kwa kukataa kumtaja huyo mtu.
Mello wa JF nimtu poa sana, aliletewa mamilioni ya Lake Oil lakini alikataa, jamaa ni mtu na nusu.
 
44 Reactions
Reply
Back
Top Bottom