Mbunge Shabiby aibua ufisadi wa kutisha EWURA, Waziri wa Nishati Kalemani asema walishavunja mkataba na kampuni fisadi

Kalemani ni Mbunge wa chato na Watu wa chato wanajulikana kwa upigaji wa pesa za walipa kodi? Kampuni ya nani hii yenye huu mkataba!? Usikute ni kampuni ya Jiwe? Na huu mkataba umesitishwa lini? Details ziwekwe hadharani tangu mwanzo wa mkataba hadi kusitishwa kwake.
Naunga mkono hoja mkuu
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mbunge wa Gairo mh Shabiby amesema kuna kampuni inalipwa kati ya sh bilioni 5 hadi 7 kila mwezi kwa kazi ya kuweka rangi kwenye mafuta yanayotumika nchini.

Shabiby amesema fee hizo ni nyingi mno kulinganisha na kazi ndogo sana inayofanywa na kwamba kazi hiyo ingeweza kufanywa bure na TBS

Shabiby kasema kazi hiyo wamepewa kampuni binafsi ambayo inatupiga haswa.

Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini mh Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiendelea na kazi hiyo ya kitapeli

Source: ITV habari

Ramadhan Kareem!
Hiyo kampuni huenda ina uhusiano na mwendazake, alikuwa fisadi mzalendo
 
Mbunge wa Gairo mh Shabiby amesema kuna kampuni inalipwa kati ya sh bilioni 5 hadi 7 kila mwezi kwa kazi ya kuweka rangi kwenye mafuta yanayotumika nchini.

Shabiby amesema fee hizo ni nyingi mno kulinganisha na kazi ndogo sana inayofanywa na kwamba kazi hiyo ingeweza kufanywa bure na TBS

Shabiby kasema kazi hiyo wamepewa kampuni binafsi ambayo inatupiga haswa.

Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini mh Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiendelea na kazi hiyo ya kitapeli

Source: ITV habari

Ramadhan Kareem!
CCM kumejaa matapeli tupu
 
Yaani sasa hivi raha sana, CCM wanapigana za uso wao kwa wao baada ya kuua upinzani

Yaani waziri anaishia tu kusema walisitisha mkataba, lakini haweki wazi hatua nyingine za kimahakama...

CCM buana!!!
 
Mbunge wa Gairo mh Shabiby amesema kuna kampuni inalipwa kati ya sh bilioni 5 hadi 7 kila mwezi kwa kazi ya kuweka rangi kwenye mafuta yanayotumika nchini.

Shabiby amesema fee hizo ni nyingi mno kulinganisha na kazi ndogo sana inayofanywa na kwamba kazi hiyo ingeweza kufanywa bure na TBS

Shabiby kasema kazi hiyo wamepewa kampuni binafsi ambayo inatupiga haswa.

Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini mh Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiendelea na kazi hiyo ya kitapeli

Source: ITV habari

Ramadhan Kareem!
Katika Utawala wangu hakuna Hela ya Serikali itakayo LIWA
 
Ukisikiliza clip ya shabiby wakati anaongea Bungeni,utagundua ni vigogo wa ngazi za juu serikalini ndio wanahusika maana wanajiamini kiasi kwamba wanatishia hata watu waliokuwa wanajaribu ku-expose huu wizi.

Sasa nimegundua kwanini CAG Kichere naye anatishiwa maisha na vigogo haohao ndani ya Serikali.
Bila ya kupepesa macho wala kigugumizi hawa ndio KUNDI LA WATU WASIOJULIKANA ilokuwa sehemu ya Utawala wa Rais aliyefia madarakani.....!!!!
 
44 Reactions
Reply
Back
Top Bottom