OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,713
Mbunge kaongea point sana. Wahuni kama kina Kigwangala ni watu wakukemewa na serikali moja kwa moja
Itakuuma?Soon huyu mbunge utamkuta kwenye bodi ya simba
Itakuuma?
Hata akisepa Simba itapata muwekezaji mpya tajiri pia kama MO.Sio kina Kigwangala tu. Wapo kina mzee Dalali na ile tume inayochelewesha mabadiliko ya uwekezaji wa Simba.
Kumbukeni huyo Mo kwa sasa ni mshauri wa Rais wa Arfika kusini, anaweza kuangalia ustaarabu mwingine huko South akawaachia timu yenu.
Hata akisepa Simba itapata muwekezaji mpya tajiri pia kama MO.
Watatu wa ndani ya nchi na wawili wa nje ya nchi,kati ya hao mmoja analilia kuwa muwekezaji pale Simba na Kanji bhai analijua hili.
Mbona unataja mtu mwenyekuheshimika na wanasimba wote unamjua vizur mzee Dalali au unaropokwa tu.Sio kina Kigwangala tu. Wapo kina mzee Dalali na ile tume inayochelewesha mabadiliko ya uwekezaji wa Simba.
Kumbukeni huyo Mo kwa sasa ni mshauri wa Rais wa Arfika kusini, anaweza kuangalia ustaarabu mwingine huko South akawaachia timu yenu.
Walikuwa wap kabla ya huyo MO?
Mbona Yanga ipo? Si waende Yanga?Hata akisepa Simba itapata muwekezaji mpya tajiri pia kama MO.
Watatu wa ndani ya nchi na wawili wa nje ya nchi,kati ya hao mmoja analilia kuwa muwekezaji pale Simba na Kanji bhai analijua hili.
Utateseka?Soon huyu mbunge utamkuta kwenye bodi ya simba
Hata Yusuf Manji anaililia hiyo fursa kweli kweli. Kwa hatua iliyofikia Simba kila mwenye hela anatamani kuwekeza hapo,Simba imekuwa tamu sasa hivi.Hata akisepa Simba itapata muwekezaji mpya tajiri pia kama MO.
Watatu wa ndani ya nchi na wawili wa nje ya nchi,kati ya hao mmoja analilia kuwa muwekezaji pale Simba na Kanji bhai analijua hili.
Nani akatumbukize hela yake chooni?Mbona Yanga ipo? Si waende Yanga?
Nimerudia kusoma mara mbil ilo jina ,nais amekosea nazan ni yule mzee kilomon ila kwa dalali sijuiMbona unataja mtu mwenyekuheshimika na wanasimba wote unamjua vizur mzee Dalali au unaropokwa tu.
Yanga ipo ndio,ila uwanjani wanacheza Sindimba badala wa soka.Mbona Yanga ipo? Si waende Yanga?