Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,834
Hakika nyota ya Rais wetu inazidi kuwakuna wapinzani. Hatimaye Peter Msigwa ameona juhudi nzuri za rais wetu na kuamua kusifu. Msigwa alimwaga sifa hizo Mei 2, 2018 mbele ya Rais Magufuli aliyejawa na tabasamu muda wote.
Msigwa: Mhe. Rais umekuwa ukisisitiza katika hotuba zako kuwa wewe hujali mambo ya vyama, na hii imedhirika kuwa kweli hujali vyama, umesaidia sana, hela za kutoka kwako zimekuja nyingi, kama alivyosema Mhe. Mahiga, kuna barabara nzuri katika kipindi chako ambacho umekuwa Rais, umejenga barabara ya lami kutoka Mlandege mpaka kwa Mkuu wa Wilaya karibu Shilingi Bilioni 3.5, tuna stendi nzuri ipo Ipogoro ya karibu Shilingi Bilioni 3, tuna maji, kwa hiyo kuna vitu vimefanyika kwa kweli Mhe. Rais hupendelei, hela zinakuja hata sisi ambao ni wa CHADEMA unaleta hela, kwa hiyo tunakupongeza sana.
Kama mchungaji Msigwa amesifu wewe ni nani uendelee kupinga juhudi hizi?
Msigwa: Mhe. Rais umekuwa ukisisitiza katika hotuba zako kuwa wewe hujali mambo ya vyama, na hii imedhirika kuwa kweli hujali vyama, umesaidia sana, hela za kutoka kwako zimekuja nyingi, kama alivyosema Mhe. Mahiga, kuna barabara nzuri katika kipindi chako ambacho umekuwa Rais, umejenga barabara ya lami kutoka Mlandege mpaka kwa Mkuu wa Wilaya karibu Shilingi Bilioni 3.5, tuna stendi nzuri ipo Ipogoro ya karibu Shilingi Bilioni 3, tuna maji, kwa hiyo kuna vitu vimefanyika kwa kweli Mhe. Rais hupendelei, hela zinakuja hata sisi ambao ni wa CHADEMA unaleta hela, kwa hiyo tunakupongeza sana.
Kama mchungaji Msigwa amesifu wewe ni nani uendelee kupinga juhudi hizi?