Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,661
- 15,026
WAKATI WA KAMPENI NILILIONA BANGO HILI "MALOFA KATIKA UBORA WETU".
å Kadri siku zinavyokwenda naanza kuondoa lawama hizi kwa rais mstaafu kama muasisi Wa kauli hii, naamini kua aliwatamka vile kwa kuwafahamu na si kuwa dharilisha.
Naamini haya kupitia kauli za Mh. Peter Msigwa Kabla ya, wakati Wa na baada ya.
å KABLA LOWASSA HAJAIHAMA CCM.
" Atakae muunga Mkono LOWASSA akapimwe akili haraka"
~Peter Msigwa~
å BAADA YA LOWASSA KUJIUNGA CHADEMA (WAKATI WA KAMPENi)
"LOWASSA ndiye suluhisho la dhuluma na Maendeleo hafifu ya taifa hili tangu Uhuru, chagua LOWASSA chagua CHADEMA"
~Peter Msigwa~
å BAADA YA LOWASSA KURUDU NYUMBANI "CCM".
" Kama kunajambo la maana kubwa LOWASSA ameifanyia CHADEMA ni kuondoka CHADEMA kurudi CCM "
~Peter Msigwa~
Kwa maana hio nikwamba wafuasi wao wamewakabidhi viongozi vichwa vyao na kutaka wao wafikiri kwa niaba yao, hio ndio sababu wao kukosa msimamo Wa hoja zao, wapo tayari kuambiwa lolote bila kufikiri.
Kabla Mh. Mkapa hajafanya ubatizo huu matendo yao yalikwisha kosa uelekeo.
Na hio ndio tafsiri halisi ya neno na mtu LOFA.
"Tumia haki yako ya kuchagua ukipendacho, usiache mtu afikiri kwa niaba yako, kataa ULOFA kwa kuichagua CCM 2019/2020"
Sent using Jamii Forums mobile app
å Kadri siku zinavyokwenda naanza kuondoa lawama hizi kwa rais mstaafu kama muasisi Wa kauli hii, naamini kua aliwatamka vile kwa kuwafahamu na si kuwa dharilisha.
Naamini haya kupitia kauli za Mh. Peter Msigwa Kabla ya, wakati Wa na baada ya.
å KABLA LOWASSA HAJAIHAMA CCM.
" Atakae muunga Mkono LOWASSA akapimwe akili haraka"
~Peter Msigwa~
å BAADA YA LOWASSA KUJIUNGA CHADEMA (WAKATI WA KAMPENi)
"LOWASSA ndiye suluhisho la dhuluma na Maendeleo hafifu ya taifa hili tangu Uhuru, chagua LOWASSA chagua CHADEMA"
~Peter Msigwa~
å BAADA YA LOWASSA KURUDU NYUMBANI "CCM".
" Kama kunajambo la maana kubwa LOWASSA ameifanyia CHADEMA ni kuondoka CHADEMA kurudi CCM "
~Peter Msigwa~
Kwa maana hio nikwamba wafuasi wao wamewakabidhi viongozi vichwa vyao na kutaka wao wafikiri kwa niaba yao, hio ndio sababu wao kukosa msimamo Wa hoja zao, wapo tayari kuambiwa lolote bila kufikiri.
Kabla Mh. Mkapa hajafanya ubatizo huu matendo yao yalikwisha kosa uelekeo.
Na hio ndio tafsiri halisi ya neno na mtu LOFA.
"Tumia haki yako ya kuchagua ukipendacho, usiache mtu afikiri kwa niaba yako, kataa ULOFA kwa kuichagua CCM 2019/2020"
Sent using Jamii Forums mobile app