Jogookoko
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 533
- 418
Ni Mbunge wa kinondoni Maulid Mtulia, wengine bado wanashangilia ushindi afu uchaguzi ujao tukiwapiga chini wanakimbilia mahakamani kulalamikia
kushindwa kwao. Umeanza vizuri ndugu Mtulia kwa kuionesha serikali kuwa kuna utawala wa sheria hakuna kukurupuka.
kushindwa kwao. Umeanza vizuri ndugu Mtulia kwa kuionesha serikali kuwa kuna utawala wa sheria hakuna kukurupuka.