Uyo si alipandishwa cheo kwa rushuwa, RUSHUWA so kashazoea
Wote ni wateule wa Rais huyo mwingine kupitia bunge kwa amriMnyeti ni wa RC wa Manyara! Ila mmoja mteule wa Rais mwingine mwakilishi wa wananchi nadhani Kuna mmoja amevamia majukumu ya mwingine.
CCM na rushwa ni kama chupi na matako.Hii ndio CCM katika ubora wake!!
Wote wala Rushwa tu. Wametofautiana ktk Dau. Hapo kuna alieshikwa mkono asiendelee kula huku mwingine akibugia.
Afilisiwe ki team chake cha GWAMBINA
Duu awamu ya sita kutakuwa na shughuli kubwa sana ya watu kuwekwa ndani kufilisiwa mali walizopora kupitia awamu ya tanoSiyo kitimu amejenga uwanja kwa bilioni tatu misungwi ni uwekezaji mkubwa amenunu timu ya Arusha united kwa mamilioni
Anajenga hoteli nyota 5 kwa ajili ya timu na watazamaji
Nilikuwepo siku ya uzinduzi jamaa ni hatari
Alileta wafanyabiashara wakubwa wa madini karibu wote
milya ccm ndo kwao, upinzani kilimkumba kimbunga cha lowasa tu. 2008-2013 alikua mwenyekiti wa uvccm mkoa wa arusha.Milya amekaribishwa huko ccm halafu anajifanya mjeuri. Watamtimua sasa hv