Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,604
Hii imetokea katika Bunge la leo ambapo Mh Mbunge huyo alikuwa anachangia bajeti iliyoletwa na waziri wa fedha, katika mchango huo alitaja jinsi jimbo lake lilivyojaliwa kuwa na natural resources kama madini ikiwemo na ardhi yenye rutuba inayokubali kilimo cha mazao mbalimbali ikiwemo bangi na hivyo kuiomba serikali itoe msaada katika ufanikishaji wa kilimo hiko.