Kwa mujibu wa mbunge wa jimbo la sumve mshahara wa mbunge ni milion 11 na point bado na miposho ya laki tatu ya kila kikao bado mfuko wa jimbo anaweza pia nufaika nao hapo mkuu wa mkoa sidhani kama anaweza fua dafu makonda na gambo wasinge kimbilia huko pia ukuu wa mkoa mda wowote unapotezaWakuu humu jf naomba kuuliza na mwenye mshahara mkubwa kati ya mbunge na mkuu wa mkoa?.
Mbunge anao. Lakini RC ana mamlaka za kiutawala . So kila moja wao ana cha kujivuniaWakuu humu jf naomba kuuliza na mwenye mshahara mkubwa kati ya mbunge na mkuu wa mkoa?.
Hayo mambo ya mishahara yamepitwa na wakati uliza nani anaingiza hela nyingi kwa mwezi, jibu ni mbunge. RC sidhani kama anaweza gonga 6 kwa mwezi wakati MP ni 11+Wakuu humu jf naomba kuuliza na mwenye mshahara mkubwa kati ya mbunge na mkuu wa mkoa?.
Hivi kwanini majibu au replies zako huku JF ni kumshambulia mtu personally badala ya kujibu hoja. Am sorry lakiniDoooh...mshahara wake unataka kujua ili uone Kama kakupa msaada kidogo au mkubwaa?
Namaanisha mshahara mkuu? Sio posho zakeeKwa mujibu wa mbunge wa jimbo la sumve mshahara wa mbunge ni milion 11 na point bado na miposho ya laki tatu ya kila kikao bado mfuko wa jimbo anaweza pia nufaika nao hapo mkuu wa mkoa sidhani kama anaweza fua dafu makonda na gambo wasinge kimbilia huko pia ukuu wa mkoa mda wowote unapoteza
Bainisha umejibu kwa ujumlaMbunge anao. Lakini RC ana mamlaka za kiutawala . So kila moja wao ana cha kujivunia
Odhis *
Wote ni wanasiasa mkuuUnalinganisha mwanasiasa na mtumishi???
Sio suala lako mkuu kujua nataka kuwa nani kama huna cha kuchangia tuliaunataka wakugawie au unataka na ww kuwa mbunge/mkuu wa mkoa??
Dada kwa hayo majibu inaonekana hata mumeo umuheshimu piaDoooh...mshahara wake unataka kujua ili uone Kama kakupa msaada kidogo au mkubwaa?
Wew mwenye hayo mawazo wakat imeshakupita polee sanaHayo mambo ya mishahara yamepitwa na wakati uliza nani anaingiza helanyingi kwa mwezi, jibu ni mbunge. RC sidhani kama anaweza gonga 6 kwa mwezi wakati MP ni 11+
Jf cku iz imevamiwa na vilaza mkuuuHivi kwanini majibu au replies zako huku JF ni kumshambulia mtu personally badala ya kujibu hoja. Am sorry lakini
Okeeey cheifHuyo RC mshahara ni wa wastani ila maslahi anayapata kwa wengi
DuuuhMbunge anamzidi hadi Rais mshahara
Ukiwa mbunge Tu banks zinakuita kukupoesha bilioni kadhaa
Ki masilahi mbunge yuko vizuri na kazi si ngumu sana. Na bado anazo privileges nyingi ikiwemo kamati za bunge, uteuzi na safari za kujifunza ndani na nje.Bainisha umejibu kwa ujumla
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us