Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni kuwa na viongozi wenye mgongano wa Kimaslahi. mkuu wa wilaya ya Iringa Mjini Mh Kasesela anamiliki coaster zaidi ya nne na ndiye aliyeshinikiza bajaji zisipite barabara za rami na analitumia jeshi la polisi kwa maslahi yake.Pole zao vijana, ila hawahawa bodaboda na bajaj ndio walipambana sana kuhakikisha wapinzani hawachukui na kurudisha fomu kwa amani, wakawa mawakala bandia wa vyama vishiriki vya CCM. Sasa waliowapambania (mbunge na madiwani) wametulia kimya kama hawaoni vile manyanyaso yao. Wamekuwa kama toilet paper, ikitumika haina maana tena, wajipambanie tu wenyewe na pia hili liwe somo kwao.
Yaani pamoja na ofisi zao kupakwa rangi ya CCM, bado wanapata taabu
Hahahaaaa.......Hizo coaster zimeandikwaje?Tatizo ni kuwa na viongozi wenye mgongano wa Kimaslahi. mkuu wa wilaya ya Iringa Mjini Mh Kasesela anamiliki coaster zaidi ya nne na ndiye aliyeshinikiza bajaji zisipite barabara za rami na analitumia jeshi la polisi kwa maslahi yake.
Hili neno Mh ndilo chanzo cha manyanyaso mnayopata, anayemiliki hizo coaster ni Kasesela uheshimiwa hauingii hapoMh Kasesela anamiliki coaster zaidi ya nne
Mwambieni aache ujinga, zama zimebadilika. Sehemu nyingi mikoani ruti ni fupi, madaladala yanaondoka, auze na kununua bajaj au ayapeleke vijijini hayo mabasi. Asibishane na nyakatiTatizo ni kuwa na viongozi wenye mgongano wa Kimaslahi. mkuu wa wilaya ya Iringa Mjini Mh Kasesela anamiliki coaster zaidi ya nne na ndiye aliyeshinikiza bajaji zisipite barabara za rami na analitumia jeshi la polisi kwa maslahi yake.
Wakitaka kuzijua wasimuulize, wamuhamishie Kibondo zitaenda kuonekana alikohamishiwaHahahaaaa.......Hizo coaster zimeandikwaje?
Jamaa ni katili sana huyu DC.Tatizo ni kuwa na viongozi wenye mgongano wa Kimaslahi. mkuu wa wilaya ya Iringa Mjini Mh Kasesela anamiliki coaster zaidi ya nne na ndiye aliyeshinikiza bajaji zisipite barabara za rami na analitumia jeshi la polisi kwa maslahi yake.
Abiria ndio aamue apande bajaji, bodaboda au daladala. Iringa kuna ujinga mwingi sana.Mwambieni aache ujinga, zama zimebadilika. Sehemu nyingi mikoani ruti ni fupi, madaladala yanaondoka, auze na kununua bajaj au ayapeleke vijijini hayo mabasi. Asibishane na nyakati
Duh hatari sana.Jana kijiwe cha mashine tatu ilikuwa so poa
Pigwa sana mabomu ya machozi,
Shida ni kwamba kuna mgongano wa kimasirahi
DC ana ubia na coasters kaza town, na kuna kiongozi mmja Ali facilitate mikopo ya bajaji bado haijamripa
Hapo bado ishu ya wamachinga, nao uchaguzi umeshaisha sasa wataondolewa mji uwe safi.Jana kijiwe cha mashine tatu ilikuwa so poa
Pigwa sana mabomu ya machozi,
Shida ni kwamba kuna mgongano wa kimasirahi
DC ana ubia na coasters kaza town, na kuna kiongozi mmja Ali facilitate mikopo ya bajaji bado haijamripa
Ni wapuuzi hao maana Msigwa alikuwa anawatetea wakarubuniwa na CCMVijana hawa wananyanyasika sana na polisi pamoja na mkuu wa wilaya.
Kila siku lazima wakamatwe au kupigwa mabomu ya machozi bila sababu za msingi.
RPC aliapa kuwanyoosha/kulipa kisasi kwa sababu walimzomea mkuu wa wilaya
Hii nchi inaishi kwa maagizo ya wakubwa na siyo sheria na taratibuYaani mm ndio nashindwaga kuelewa hapa tu. Hivi Kila siku viongozi kutwa kushindana na wananchi wanao fanya kazi halali na wanalipa Kodi yaani Kila siku utaratibu mpya unatoka sheeeet...