Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,774
- 93,532
Hii nchi waharifu wote wapo CCMIringa mjini shida ni madiwani, wengi uelewa wao ni mdogo sana na wengi ni walamba viatu kwa hiyo wanashindwa kusimamia haki ikiwa waminya haki ni hao wanaowalamba viatu lakini pia wanashindwa kusimamia haki kwa kuwa hawaelewi mambo (elimu ndogo). Mkurugenzi wa Manispaa anapiga mahela hapo madiwani wao wapo tu wametoa macho hakuna hatua wanazochukua, Bustani ya Manispaa (gardeni) imebinafsishwa kijanja janja hata mikataba haionekani madiwani wapo tu wanachekacheka. Mikataba inaghushiwa na hela zinapigwa madiwani wapo tu. Kuwategemea watu kama hao wawasaidie wananchi ni kujidanganya. Waanze kwanza kutekeleza maagizo ya CAG
View attachment 1789207View attachment 1789208