Posho City
JF-Expert Member
- Mar 15, 2012
- 646
- 415
mbunge wangu Rweikiza hakuna ninachokiona zaidi ya kujitahid wananchi bk vijijini waendelee kuwa mbumbumbu ili magamba izidi kupeta.
Diwani wangu wa Karabagaine mzee Makwabe ndo kabisa hali mbaya.vyanzo vya maji vya asili vimekauka kata nzima hata hilo limemshinda kuhimiza wananchi vikatunza.Hakuna anachofanya zaidi ya kila leo kuwapgia simu wale wanaotaka kumuondoa 2015.
Diwani wangu wa Karabagaine mzee Makwabe ndo kabisa hali mbaya.vyanzo vya maji vya asili vimekauka kata nzima hata hilo limemshinda kuhimiza wananchi vikatunza.Hakuna anachofanya zaidi ya kila leo kuwapgia simu wale wanaotaka kumuondoa 2015.