Shasa Courtney
Member
- Jul 21, 2011
- 25
- 3
Wanajamvi naona Edward Lowassa kafungua njia kwa wabunge wa CCM kuzidi kumwagika kwa TB Joshua kuombewa.
Leo kupitia Emmanuel TV inayomilikiwa na Synagogue Church la Nigeria nimemuona Mbunge wa Ngara kupitia CCM Mh. Deogratias Ntunkamazina akifanyiwa maombi maalum akidai kwamba ana matatizo ya shingo na alikuwa hawezi kutembea bila kutumia mkongojo, baadae akasimamishwa akaweza kutembea. Sasa sijajua kama ile ilikuwa ni script ya kuficha kinachowafanya wakimbile Nigeria ambacho wengi tunajua ni kufikiria re-election 2015.
Anaejua perfomance ya huyu mzee jimboni kwake naomba atumwagie hapa jamvini ili tujue kama ni hofu ya kumwagwa 2015 ndo imempeleka huko.
Leo kupitia Emmanuel TV inayomilikiwa na Synagogue Church la Nigeria nimemuona Mbunge wa Ngara kupitia CCM Mh. Deogratias Ntunkamazina akifanyiwa maombi maalum akidai kwamba ana matatizo ya shingo na alikuwa hawezi kutembea bila kutumia mkongojo, baadae akasimamishwa akaweza kutembea. Sasa sijajua kama ile ilikuwa ni script ya kuficha kinachowafanya wakimbile Nigeria ambacho wengi tunajua ni kufikiria re-election 2015.
Anaejua perfomance ya huyu mzee jimboni kwake naomba atumwagie hapa jamvini ili tujue kama ni hofu ya kumwagwa 2015 ndo imempeleka huko.