BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Abdallah sumry aliyekua mbunge sumbawanga amekamatwa kwa wizi wa gari la serikali!jamani hawa CHUKUA CHAKO MAPEMA mbona ni hatari sana yani hata kumkaribisha mwana CCM home kwako anaweza ondoka na vijiko umma sahani mfukoni.source gazeti la leo