Wewe umejuaje kuwa yeye hajui? kuuliza si kwamba hajui bali anaomba kwa kile anakijua basi na wengine wamuongezee.Mimi na wewe hatujui vizuri tusubiri tu wakati ukifika
Ni uvumi au kweli kuhusu mbunge wa jimbo la lupa katika wilaya ya chunya mkoani Mbeya? mbunge wa zamani wa jimbo hili Kasaka anaandaa makombara ya kum-defeat Mwambalaswa ili arudi tena DODOMA..
Kasaka is history! Alicheza vibaya karata zake na kwa kuhamia upinzani amejionyesha kuwa ni mtu wa kupenda madaraka tu na si chama chake (CCM au chama alichohamia)wala wananchi wa Chunya.
Oppurtunists hawajawahi kufanikiwa, na oppurtunity ikipita baada ya hapo ni maigizo tu.
Anajisumbua.
d
Unaongea kama hukijui hicho chama. Hebu taja mtu mmoja hapa ambaye si opportunist ndani ya sisiemu. Kwa chama cha majambazi lolote linawezekana. Yule kada wa NCCR nsanzugwanko sasa hivi si ni mbunge? Kwa nini isiwe Kasaka? Kama amezikusanya pesa za kutosha kuhonga na ameshaanda mabawser yenye maji taka ya kutosha kumchafua mtu yeyote atakayekuja mbele yake achilia huo Mwambalaswa basi atarudi tu mjengoni.