cc: Riziwan, zomba, chama. Tume ya katiba, m.k.were jk, baharia, nepi ya kukojolea watoto, tamuchungu na ni dedication pia kwa magamba na vibaraka vyao vyote ingawa najua mkuu wa magamba atazima hii kitu kama alivyoizima kwa zainabu vullu na yule mbunge wa magamba aliyeshitakiwa bahi kwa rushwa!31/10/2012
habari kutoka tbc1 zinahabarisha kuwa mbunge wa jimbo la ilala, dar es salaam, ambaye pia ni mwenyekiti wa bunge la jamhuri ya muungano tanzania, mussa hassan zungu na watu wengine watatu wamekamatwa kwa tuhuma za kujihusisha na rushwa katika uchaguzi wa jumuiya ya wazazi wa ccm unaofanyika huko dodoma.
Taarifa hiyo imetolewa na kamanda wa takukuru mkoa wa dodoma.
source: http://www.wavuti.com/4/post/2012/10/mbunge-wa-ilala-azzan-zungu-akamatwa-kwa-tuhuma-za-rushwa.html#ixzz2auawuvtu
kama kwenye issue ya mbunge wa viti maalum ZAINABU VULLU alikamatwa LIVE anagawa pesa lakini mpaka hii leo ajafikishwa mahakamani jiulize why kwahiyo kama imeshindikana kwa ZAINABU VULLU itawezekana kwa ZUNGU.
Mungu tusaidie nchi hii yaani RULE OF LAW NI ZERO.
Niliwahi kusoma hapa pia mayor mmoja Slaa alikamatwa akitoa rushwa hivi iliishia wapi wakuu?Oh yes... Unasema Ukweli na AMESHINDA UWT-CCM-NEC Mwishowe... Ina hatarisha kweli kila mtu ni MWIZI hadi DEREVA wa Wabunge... Nani atashikwa???
Zungu yupo kambi ya nani kuelekea 2015??Sasa CCM rushwa kama mawingu na mvua. Musa Azzan Zungu, Mwenyekiti wa Bunge la JMT ndani ya Hati hati ya kujihusisha na vitendo vya rushwa. Namhurumia JK sijui atafuta chaguzi ngapi za taasisi za CCM?
sio lazima uandike kingleza ndugu.Ooooh YES ... CCM CCM is this true 4 REAL ? Not believable, does not comes right in MY MIND!!!
31/10/2012
Habari kutoka TBC1 zinahabarisha kuwa Mbunge wa Jimbo la Ilala, Dar es Salaam, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania, Mussa Hassan Zungu na watu wengine watatu wamekamatwa kwa tuhuma za kujihusisha na rushwa katika Uchaguzi wa Jumuiya ya Wazazi wa CCM unaofanyika huko Dodoma.
Taarifa hiyo imetolewa na Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Dodoma.
Source: http://www.wavuti.com/4/post/2012/10/mbunge-wa-ilala-azzan-zungu-akamatwa-kwa-tuhuma-za-rushwa.html#ixzz2AuAWuVTU
kama kwenye issue ya mbunge wa viti maalum ZAINABU VULLU alikamatwa LIVE anagawa pesa lakini mpaka hii leo ajafikishwa mahakamani jiulize why kwahiyo kama imeshindikana kwa ZAINABU VULLU itawezekana kwa ZUNGU.
Mungu tusaidie nchi hii yaani RULE OF LAW NI ZERO.