BAdo sijaelewa vilee...Nini kimetokea kwa idd azan...Noo... musa azan
31/10/2012
Habari kutoka TBC1 zinahabarisha kuwa Mbunge wa Jimbo la Ilala, Dar es Salaam, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania, Mussa Hassan Zungu na watu wengine watatu wamekamatwa kwa tuhuma za kujihusisha na rushwa katika Uchaguzi wa Jumuiya ya Wazazi wa CCM unaofanyika huko Dodoma.
Taarifa hiyo imetolewa na Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Dodoma.
Source: http://www.wavuti.com/4/post/2012/10/mbunge-wa-ilala-azzan-zungu-akamatwa-kwa-tuhuma-za-rushwa.html#ixzz2AuAWuVTU