Ha ha ha...huyu nae ana kaujinga flani
Kulikiwa na pre agreements before!! Haikutokea kwa bahati mbaya ati amshinde kessy!!
Ha ha ha...huyu nae ana kaujinga flani
Kosa lake nini? Tuache ujinga. Aligombea amepata. Akatae?Yuko mbele mbele sana, sijui ushamba au kitu gani, ndio maana akahudhuria mpaka sherehe za kuapishwa jiwe.
Mtu wa namna hii huwezi kumpa ushauri wa tofauti na kwenda bungeni akaufuata, na anaweza kuwa ndio anatumiwa na CCM kuwalainisha wabunge wengine wa Chadema wakubali teuzi za viti maalum.
WivuAna roho ngumu sana! Atakuwa mchawi. Kama siyo mchawi, hauwezi. CHADEMA wamfukuze uanachama ili atumikie kupitia CCM.
Chadema watamwua huyu mama ili waseme ccm imemwua.Chama kilimdhamini na wananchi wakamchagua.
Minadhani amefanya sawa kwenda bungeni kuwa wakilisha walio mchagua.
Wewe ndiye pimbi mjinga mkubwahuyu nae ana kaujinga flani
Sioni kosa lake Mkuu..Huyo mpumbafu afukuzwe akawe mbunge wa viti maalum vya Ndugai Kama wenzake kina Silinde.
CDM hawanaga muda mchafu....huyu maza mwacheni akashangae shangae Bungeni....Chadema watamwua huyu mama ili waseme ccm imemwua.
Huyu ndiye mwenye akili sasa. Dada usikubali kuendeshwa na watu wasio na akili. Akili zao zinawaza kutekwa tu na kuandamana. Wengine wanadiriki hata kutangatanga na familia kwenye nyumba za watu. Sasa hizo ni akili kweli jamani. Lazima tufike mahala tuache siasa za mihemko. Politics is like a game don't play rough game. Ujue kuna maisha baada ya siasa.Mheshimiwa Aida Khenani akijisali leo Bungeni kama sehemu ya mchakato wa kisheria kabla ya kuanza kuwatumikia Wapiga kura wake.
Hongera Sana
View attachment 1622063
Huyu inabidi alindwe kwani 'magaidi' ndani ya chama chake wanaweza wakamdhuru yeye na familia yakeMheshimiwa Aida Khenani akijisali leo Bungeni kama sehemu ya mchakato wa kisheria kabla ya kuanza kuwatumikia Wapiga kura wake.
Hongera Sana
View attachment 1622063
Huyo atakuwa pandikizi......Huyu Mama Jasiri sana
Jimbo lake pekee limetoa asillimia 66% ya Madiwan wote wa CHADEMA hapa Nchini
Mimi namshauri ahamie CCM na apitishwe bila kupingwa!Chama kilimdhamini na wananchi wakamchagua.
Minadhani amefanya sawa kwenda bungeni kuwa wakilisha walio mchagua.
Ukitaka kuwa mzalendo unga mkono upumbavu na uharo wa CCM utaitwa mzalendoSafi sana. Huyu mama mzalendo.
Achape kazi kuwawakilisha wananchi wa Nkasi.
Mzalendo kwelikweli, CCM saa hii tunawahitaji Wabunge wa wapinzani.shame on you CCM.Safi sana. Huyu mama mzalendo.
Achape kazi kuwawakilisha wananchi wa Nkasi.