Mbunge Mteule Wa Nkasi Kaskazini, Aida Khenani (CHADEMA) awasili Bungeni mapema leo na kujisajili kwa mujibu wa taratibu

Yuko mbele mbele sana, sijui ushamba au kitu gani, ndio maana akahudhuria mpaka sherehe za kuapishwa jiwe.

Mtu wa namna hii huwezi kumpa ushauri wa tofauti na kwenda bungeni akaufuata, na anaweza kuwa ndio anatumiwa na CCM kuwalainisha wabunge wengine wa Chadema wakubali teuzi za viti maalum.
Kosa lake nini? Tuache ujinga. Aligombea amepata. Akatae?
 
Anajihelewa sana na hayupo tayari kuwasiliti wananchi waliomchagua.
 
Mheshimiwa Aida Khenani akijisali leo Bungeni kama sehemu ya mchakato wa kisheria kabla ya kuanza kuwatumikia Wapiga kura wake.

Hongera Sana
View attachment 1622063
Huyu ndiye mwenye akili sasa. Dada usikubali kuendeshwa na watu wasio na akili. Akili zao zinawaza kutekwa tu na kuandamana. Wengine wanadiriki hata kutangatanga na familia kwenye nyumba za watu. Sasa hizo ni akili kweli jamani. Lazima tufike mahala tuache siasa za mihemko. Politics is like a game don't play rough game. Ujue kuna maisha baada ya siasa.
 
Nawakumbusha tu kua miaka mitano sio milele,ni kesho kutwa tu.ya leo jana na juzi tunayajua ila ya kesho ni usiku wa giza.Tutunze muda utatupa majibu.
 
Hongera kwake Aida Kenan wewe umechaguliwa na wananchi sio Mbowe na John Mnyika!!
 
Back
Top Bottom