Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,156
- 4,510
Mheshimiwa Aida Khenani akijisali leo Bungeni kama sehemu ya mchakato wa kisheria kabla ya kuanza kuwatumikia Wapiga kura wake.
Hongera Sana
Hongera Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safiii, hakuna kuwasusia CCMMheshimiwa Aida Khenani akijisali leo Bungeni kama sehemu ya mchakato wa kisheria kabla ya kuanza kuwatumikia Wapiga kura wake.
Hongera Sana
Soon atakuwa Mbunge wa Mahakama au ataunga juhudi, mark this post.Huyu Mama Jasiri sana
Jimbo lake pekee limetoa asillimia 66% ya Madiwan wote wa Chadema hapa Nchini
Soon atakuwa mbunge wa mahakama au ataunga juhudi, mark this post.
Sijaona, ila nilishawahi kuona CCM wakiua ili wapate ruzuku.Ushawahi kuona Mchaga kususia cheo au ruzuku?
Kwani amechaguliwa na CHADEMA au wananchi. Wananchi wamechagua mtu Kama mtu na sio chama, hata angekuwa CCM angechaguliwa, hata TLP...sijui unaelewaYuko mbele mbele sana, sijui ushamba au kitu gani, ndio maana akahudhuria mpaka sherehe za kuapishwa jiwe.
Mtu wa namna hii huwezi kumpa ushauri wa tofauti na kwenda bungeni akaufuata, na anaweza kuwa ndio anatumiwa na CCM kuwalainisha wabunge wengine wa Chadema wakubali teuzi za viti maalum.
Hata ingekuwa roho ya mwewe,. Inahusuu.Ana roho ya paka!