Albert Einstein
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 384
- 560
ππππππMimi nasubiri CHADEMA waanze kutimuana, na hivi hawana ruzuku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππMimi nasubiri CHADEMA waanze kutimuana, na hivi hawana ruzuku
Mfano wa kitoto usioendana na hali halisi. Kama wenzake walifelishwa kwa makusudi kwanini yeye afurahie kufaulu peke yake?Anataka kususa ubunge? Kwa hiyo ktk shule darasa lako zima limefeli mtihani, mmoja tu kafaulu, na yule aliyefaulu anakataa matokeo na kususa kuungana na wenzake walio feli? Duh, basi afanye hivyo
Huwezi kuwaachia ngedere shamba. Utavuna mabua!
CHADEMA on the verge of repeating the same mistake. Hii strategy ya kususa mwisho wake huwa ni mbaya - almost always!
So, Aidah na wenzie wa viti maalumu wasikubali kwenda Bungeni then wahamie Twitter na JF kufanya uharakati? Wrong move. Na tutajuta.Unataka kubariki uhuni kwasababu za kufikirika, wacha uoga.
Leo wana CCM wamekuwa sympathizers wa Chadema, eti wanataka wapinzani waingie bungeni, ajabu sana.Huwezi kuwaachia ngedere shamba. Utavuna mabua!
CHADEMA on the verge of repeating the same mistake. Hii strategy ya kususa mwisho wake huwa ni mbaya - almost always!
Huyu dada ni bora aachie tu huo ubunge dunia ione wazi kuwa hii nchi inaendeshwa kidikteta.
Narudia kukwambia tena, wacha uoga, usifikirie kwa kutumia tumbo, wacha kichwa kifanye kazi, km hiyo twitter isingekuwa na nguvu wasingehangaishwa na Kigogo mpaka leo.So, Aidah na wenzie wa viti maalumu wasikubali kwenda Bungeni then wahamie Twitter na JF kufanya uharakati? Wrong move. Na tutajuta.
Tulia mama unawashwa nanini.Huwezi kuwaachia ngedere shamba. Utavuna mabua!
CHADEMA on the verge of repeating the same mistake. Hii strategy ya kususa mwisho wake huwa ni mbaya - almost always!
Ajiuzulu tu turudie uchaguzi tumgaragaze.
Wana Nkassi hatupendi dharau
ππππ. Hatari kweli. Tulizeni akili and think objectively.Leo wana CCM wamekuwa sympathizers wa Chadema, eti wanataka wapinzani waingie bungeni, ajabu sana.
Uwezo wako wa kufikiri umeishia hapa. Poor You!Tulia mama unawashwa nanini.
Huwezi kuwaachia ngedere shamba. Utavuna mabua!
CHADEMA on the verge of repeating the same mistake. Hii strategy ya kususa mwisho wake huwa ni mbaya - almost always!
Huyu kwake chama ni bora kuliko wananchi waliomwamini kuwawakilisha. Halafu huyu alikuwa mmoja wa vitu maalum kwa Mwenyekiti so ni uamuzi uliotegemewa.
Kwahiyo maturity ni kumlazimisha aingie bungeni awaache wapigakura wake na viongozi waliompigania wakizikana na kuuguza majeruhi.ππππ. Hatari kweli. Tulizeni akili and think objectively.
Harafu huwezi kumbrand mtu kuwa mwana CCM kwa sababu tu mtazamo wake upo tofauti na wa kwako. Maturity is agreeing to disagree.
Hana adabu huyu mama, anawakosea heshima walio mpa hiyo nafasi. Bora aachie ngazi kieleweke.Huyu kwake chama ni bora kuliko wananchi waliomwamini kuwawakilisha. Halafu huyu alikuwa mmoja wa vitu maalum kwa Mwenyekiti so ni uamuzi uliotegemewa.
Amepewa na ccm? Alishindwa uchaguzi? Atulie, ashirikiane na wenzake bila matamko.Yaliyo kwisha kutokea kwa kusababishwa na CCM ni zaidi ya huyu mwana Mama kuachana na Ubunge wa kupewa na CCM.