Wote walikuwa wanatukanana na kufanya vituko sio ccm tu.Wabunge wa ccm walivyokuwa wamezoea kuwatukana wabunge wa upinzani bungeni, bunge hili sjui watamsimanga nani
Utajuaje kama ni msimamo wake kwa anachokiamini au hufanya hivyo kwa kuhofia kuonekana mnafki kwenye chama?Huyu dada alikuwa mbunge wa viti maalum. Siyo mara ya kwanza kuwa mbunge na hivyo sioni ugumu kwake ku sacrifice hiyo nafasi kwa ajili ya kusimamia anachokiamini
Huo ni ushahidi kwamba wabunge wa upinzani huwa wanashinda ubunge kwa kupewa tu na ccm ila safari hii wenyewe wameamua kuchukua viti vyao na kuamua kumpa tu huyo mdada.Kwani huyu sister ni mchawi kiasi cha kuwafanya wezi wa kura waogope kuiba kura zake au huu ndiyo ushahidi kwamba wanaodai kuibiwa kura ni wafamaji tu?
Huo ni ushahidi kwamba wabunge wa upinzani huwa wanashinda ubunge kwa kupewa tu na ccm ila safari hii wenyewe wameamua kuchukua viti vyao na kuamua kumpa tu huyo mdada.Kwani huyu sister ni mchawi kiasi cha kuwafanya wezi wa kura waogope kuiba kura zake au huu ndiyo ushahidi kwamba wanaodai kuibiwa kura ni wafamaji tu?
Mkuu wakati ule unatamba kabisa kuwa safari hii lazima ccm atoke madarakani hukuwa unajua kwamba hayo ya sanduku la wizi?au ulikuwa unajifurahisha tu.Kuna tofauti kubwa baina ya sanduku la kura na sanduku la wizi.
Wewe unaongelea sanduku la wizi jombi. Huoni si bashiri wala chakubanga waliojitokeza hata kuonyesha nyuso zao tu hadharani?
"The guilty are always afraid.'
Yaani nyie ccm kwa sasa mnajua hisia za wana chadema kuliko chadema wenyewe🤣🤣🤣🤣Utajuaje kama ni msimamo wake kwa anachokiamini au hufanya hivyo kwa kuhofia kuonekana mnafki kwenye chama?
Kwanza mie sio mshabiki wa vyama vya siasa kabisa.Yaani nyie ccm kwa sasa mnajua hisia za wana chadema kuliko chadema wenyewe🤣🤣🤣🤣
Kwa nn mnataka sana aende bungeni? Si huwa mnawafukuza? Huu upendo umetoka wapi?
Safi sana, kuwaunga mkokono wenzio utakuwa umefanya vyema.
Uko sahihi kabisaKwanza mie sio mshabiki wa vyama vya siasa kabisa.
Huyo kachaguliwa na wananchi na hao ndio anatakiwa akawatumikie maana huko bungeni sio kijiwe cha chama kwamba alikuwa anaenda kupiga story na wanachadema wenzake.
Swali: kura za Wizi ni ushindi?Mkuu wakati ule unatamba kabisa kuwa safari hii lazima ccm atoke madarakani hukuwa unajua kwamba hayo ya sanduku la wizi?au ulikuwa unajifurahisha tu.
Yeye alitakiwa ajiuzulu sio mpaka asubirie maamuzi ya Chama mbona kugombea alianza safari yake mwenyewe
Kasema mwenyewe haendi. Tuheshimu mawazo yakeKwanza mie sio mshabiki wa vyama vya siasa kabisa.
Huyo kachaguliwa na wananchi na hao ndio anatakiwa akawatumikie maana huko bungeni sio kijiwe cha chama kwamba alikuwa anaenda kupiga story na wanachadema wenzake.
Stori za vijiweni muwe mnaangalia pa kuzipeleka.Kabisa mkuu!
Kwanza Mbowe uchaguzi huu alikuwa hana raha kabisa maana Lisu kamfirisi sana tofauti na 2015 Lowasa alipeleka bilion 8
Watazomea meza. Wanataka yule dada aende bungeni ili akawe punching bag laoWabunge wa ccm walivyokuwa wamezoea kuwatukana wabunge wa upinzani bungeni, bunge hili sjui watamsimanga nani
Mbona mlishindwa kumgalagaza mwanzo?Ajiuzulu tu turudie uchaguzi tumgaragaze.
Wana Nkassi hatupendi dharau.
Tatizo Mbowe kinamuuma Sana, iweje yeye akose halafu apate aliyekuwa viti maalum wake? Atapataje mwanamke yeye akose!Namshaur asiachie ubunge,..aende tu bungeni..mungu ana mpango na yeye..