Ujasiri wa uongo. Anashindwa nini kusema kwa hasira nilizonazo, sitaki huo ubunge na siendi kuapishwa?
Yani kama unamtoto wa kiume kama peNa hivi unawezatamani mbadilishane na baba wa huyu binti!Akili kubwa sana hii katika kizazi hiki cha wachumia tumbo.
Unateseka?....we unaona kuna ubunge hapo zaidi ya upumbavu...Anataka kususa ubunge? Kwa hiyo ktk shule darasa lako zima limefeli mtihani, mmoja tu kafaulu, na yule aliyefaulu anakataa matokeo na kususa kuungana na wenzake walio feli? Duh, basi afanye hivyo.
Licha ya familia itakuwa ni dharau na matusi kwa waliomuamini akawawakilishe.Aache ujinga ana Familia, Mume na Watoto.
Unapajua nkasi wewe falaAjiuzulu tu turudie uchaguzi tumgaragaze.
Wana Nkassi hatupendi dharau.
Kweli kabisa ,km wananchi wamekuamini sioni mantiki ya kususa kwaajili ya tofauti ya itikadi!huku ni kiwavunja moyo waliokuchagua ,sasa ni wakati muafaka wa yeye kwenda kuwakilisha madai yao kwenye baraza la kutunga sheria.Huwezi kuwaachia ngedere shamba. Utavuna mabua!
CHADEMA on the verge of repeating the same mistake. Hii strategy ya kususa mwisho wake huwa ni mbaya - almost always!
And that's how many green flies are. Well said my friend, you have made my day.Mtoto wa nyani aliona vichaka vinaungua akawa anaruka na kushangilia ilipofika jioni ndio akajua hana pa kulala.
Nenda kampikie mumeo
Ccm kungekuwa hakuna wenye akili basi tusingeona upinzani ukiwachukuwa wana ccm kama Nyalandu,Lowassa na Membe.Hii akili huwezi kuipata CCM, wengi wanafikira kwa matumbo
Wewe kweli Jingalao, unashangilia maasi, dhuluma, vikianza vita utasonga mbele?Ajiuzulu tu turudie uchaguzi tumgaragaze.
Wana Nkassi hatupendi dharau.
Sky sina mawasiliano, kidogo naona kuna improvement, vipi Maxence kesi imekwendaje? Bahati mbaya desktop yangu JF sipati kabisa mitandao afadhalinTecno yangu. Hivyo siwezi kumpata inbox
Watu wengine bhana, yeye ndo kaamua iwe hivyo, unakuja kuumia wewe!!Aache ujinga ana Familia, Mume na Watoto.
Kwahiyo wewe unafurahia kwamba ana msimamo kwa chama chake na si kwa wapiga kura wake?Nimempenda huyo mdada aisee ana msimamo thabiti sana kuhusu Chadema. Angekuwa ni mmoja wa wale wanasiasa Malaya Malaya angepatwa na kigugumizi.