emmanuel mruma
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,778
- 1,718
sasa ulitaka akaweke naniliuu nyingne ili awe spikaMbona Sita alivyoambiwa ni zamu ya mwanamke alinyamaza kimya?
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa ulitaka akaweke naniliuu nyingne ili awe spikaMbona Sita alivyoambiwa ni zamu ya mwanamke alinyamaza kimya?
kustaafu sio umri ni kufika ukomo wa madaraka ndo maana ata serikali inmtambua lowasa kma wazir Mkuu mstafu jpo alijiuzulu. ....Ukionana naye mwambie aache mbwembwe.Yeye ni mbunge aliyekwama kwenye kura za maoni.Siyo "mbunge mstaafu"! Msisitizie hilo.
kuongea kitu chochote kwa kujiamin kupitiliza sisi kwetu tunakuchukulia jeuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Unarembewa maneno na weye unaingia kichwakichwa tu!kustaafu sio umri ni kufika ukomo wa madaraka ndo maana ata serikali inmtambua lowasa kma wazir Mkuu mstafu jpo alijiuzulu. ....
Sent using Jamii Forums mobile app
kumbe sitta kipindi cha JK ashawahi kuwa waziri?Sitta alijitahidi (ukiacha Bunge la Katiba) na ndiyo sababu iliyomnyima nafasi kwa mara nyingine,Mijadala ilikua moto, Lowasa alijiuzulu, ila baada ya kuitwa vikao vya ndani akawa mpole, Alivyopigwa chini akataka kujiunga CDM lakini JK akamuwahi akampa Uwaziri.
Spika wa sasa ni Dhaifu.
Kwan kunyamaza kimya kunachukua dakika ngapi ?Mbona Sita alivyoambiwa ni zamu ya mwanamke alinyamaza kimya?
Tupe hiyo Siri na sisi tujueKuna siri kwenye udhaifu, si bure. Niliandika humu:
Waziri wa Afrika Mashariki 2010-2015.
Na baadae uchukuzi!Waziri wa Afrika Mashariki 2010-2015.
ata dakika 5 ninyingi sanaAliyekuwa mbunge wa Kahama mzee Lembeli akijibu swali la mtangazaji Hassani Ngoma kuhusu mgogoro wa CAG na Spika amesema mgogoro uliopo ni jambo dogo sana linalohusisha tafsiri ya neno Dhaifu.
Angekuwa Spika Sitta suala hili angelitatua ndani ya dakika 5 kwani kwa busara zake asingeruhusu watu wazima wawili wagombane kwa sababu ya tafsiri.
Lembeli anasema Sitta alikuwa ni chuma cha pua na hakuiogopa Serikali hata siku moja bali Serikali ndio ilimuogopa Spika na bunge kwa ujumla.
Maendeleo hayana vyama!