Mbunge mstaafu: Hili suala la CAG ingekuwa enzi za Spika Sitta angelimaliza kwa dakika 5 tu

Sitta alijitahidi (ukiacha Bunge la Katiba) na ndiyo sababu iliyomnyima nafasi kwa mara nyingine,Mijadala ilikua moto, Lowasa alijiuzulu, ila baada ya kuitwa vikao vya ndani akawa mpole, Alivyopigwa chini akataka kujiunga CDM lakini JK akamuwahi akampa Uwaziri.
Spika wa sasa ni Dhaifu.
kumbe sitta kipindi cha JK ashawahi kuwa waziri?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: prs
ata daikak tano
Aliyekuwa mbunge wa Kahama mzee Lembeli akijibu swali la mtangazaji Hassani Ngoma kuhusu mgogoro wa CAG na Spika amesema mgogoro uliopo ni jambo dogo sana linalohusisha tafsiri ya neno Dhaifu.

Angekuwa Spika Sitta suala hili angelitatua ndani ya dakika 5 kwani kwa busara zake asingeruhusu watu wazima wawili wagombane kwa sababu ya tafsiri.

Lembeli anasema Sitta alikuwa ni chuma cha pua na hakuiogopa Serikali hata siku moja bali Serikali ndio ilimuogopa Spika na bunge kwa ujumla.

Maendeleo hayana vyama!
ata dakika 5 ninyingi sana
 
Back
Top Bottom