johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,883
- 141,815
Aliyekuwa mbunge wa Kahama mzee Lembeli akijibu swali la mtangazaji Hassani Ngoma kuhusu mgogoro wa CAG na Spika amesema mgogoro uliopo ni jambo dogo sana linalohusisha tafsiri ya neno Dhaifu.
Angekuwa Spika Sitta suala hili angelitatua ndani ya dakika 5 kwani kwa busara zake asingeruhusu watu wazima wawili wagombane kwa sababu ya tafsiri.
Lembeli anasema Sitta alikuwa ni chuma cha pua na hakuiogopa Serikali hata siku moja bali Serikali ndio ilimuogopa Spika na bunge kwa ujumla.
Maendeleo hayana vyama!
Angekuwa Spika Sitta suala hili angelitatua ndani ya dakika 5 kwani kwa busara zake asingeruhusu watu wazima wawili wagombane kwa sababu ya tafsiri.
Lembeli anasema Sitta alikuwa ni chuma cha pua na hakuiogopa Serikali hata siku moja bali Serikali ndio ilimuogopa Spika na bunge kwa ujumla.
Maendeleo hayana vyama!