Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
- Picha ya Kwanza: Mchungaji Msigwa Mbunge wa Iringa mjini
- Picha ya pili: Baadhi ya vifaa vya michezo alivyogawia timu za shule Iringa.
"By now every one of us has seen it practically that the Blacks cannot rule themselves. Give them guns and they will kill each other. They are good in nothing
else but making noise, dancing, marrying many wives and indulging in sex. Let us all accept that the Black man is the symbol of poverty, mental inferiority, laziness and emotional incompetence
And here is a creature that lacks foresight. There is a need for us to combat him in long term projections that he cannot suspect. The average Black does not plan his life beyond a year."
Mbunge anafanyanini?
Baaada ya shughuli ya uchaguzi kumalizika katika kata mbili za gangilonga na kitanzanini, Mh. Msigwa ameendelea na ziara mbalimbali katika jimbo la iringa mjini, amehudhuria katika sherehe za mahafari ya shule mbalimabali za sekondari na msingi na kugawa vifaa vya michezo. shule hizo nipamoja na IPOGOLO SEKONDARI, SEKONDARI YA WASABATO, SHULE YA MSINGI UGELE. PIA AMEGAWA VIFAA HIVYO KATIKA VILABU MBALMBALI IKIWEMO MSHINDO NA TIMU YA MPIRA WA MIGUU YA WANAWAKE. zoezi hili litaendele kwa kugwa jezi kwa timu zote za mpira wa miguu na netball.
Pia hivi karibuni msigwa amefanya ziara katika maeneo mengine ikiwemo ofifisi za TRA, HOSPITALI YA MKOA, Ambako alitembelea wagonjwa na kuonana na watumishi katika hospitali, aliahidi kuchangia mashuka na net za mbu kwa Hospitali nzima. Ziara yake itaendelea katika maeneo tofauti ndani ya jimbo kabla ya kamati za bunge kuanza.