Hii kamati hata sioni umuhimu wake kwani wabunge wenyewe hawana hayo maadili. Nimesikitika sana kusikia toka kwa naibu spika kuwa kuna wabunge wanaoingia bungeni wakiwa wamevuta bangi. Ukijumlisha na rushwa wanazopokea kila siku unabaki unashangaa kama hii kamati kazi yake ni kusimamia haki ya wabunge kuvuta bangi na kupokea rushwa.KIla ukitajwa UFISADI badala ya CCM kuchunguza tuhuma na kuchukua hatua, hukimbilia kuwaita watoa UFISADI kwenye kamati ya haki kinga na maadili kama njia ya kuwanyamazisha wafichua ufisadi. (ref kesi ya TL na wabunge wala Rushwa)
Je Sisi Wananchi wa kawaida tueleweje?
Hapa ndio huwa najiuliza sana kwa wale ambao husema lukuvi ni kiongoza mzalendo wakati ndie bingwa wa kupotosha ukweli na kuficha uovu wa serikali pale anaposimama kidete na kutetea udhaifu wa serikali ya ccm.jamani watanzania tuamke mana hawa jamaa wna mtandao wa kuuza rasilimali zetu ili waweze kupata fedha za uchaguzi na kuendelea kuiba hizi rasilimali.
hii kamati hata sioni umuhimu wake kwani wabunge wenyewe hawana hayo maadili. Nimesikitika sana kusikia toka kwa naibu spika kuwa kuna wabunge wanaoingia bungeni wakiwa wamevuta bangi. Ukijumlisha na rushwa wanazopokea kila siku unabaki unashangaa kama hii kamati kazi yake ni kusimamia haki ya wabunge kuvuta bangi na kupokea rushwa.
Mbunge wa iringa mjini aikwaza ccm na kuitwa kamati ya maadili kwa kisingizio kuwa amelidanganya bunge.ni pale alipotaja washiriki wa ujangili wa wanyamapori wakiwemo viongozi wa ccm na serikali.
KIla ukitajwa UFISADI badala ya CCM kuchunguza tuhuma na kuchukua hatua, hukimbilia kuwaita watoa UFISADI kwenye kamati ya haki kinga na maadili kama njia ya kuwanyamazisha wafichua ufisadi. (ref kesi ya TL na wabunge wala Rushwa)
Je Sisi Wananchi wa kawaida tueleweje?
SIMPLE CONCLUSION: CCM na UFISADI ni chanda na pete
Kiongozi aliyetajwa na Msigwa siyo wa CCM bali ni Diwani wa Chadema na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu,ina maana magwanda hawawajui hata viongozi wao,huku ndo kukurupuka kuongea bila kuwa na uhakika wa unachokiongea,hao ndiyo viongozi wa magwanda ambao kazi yao kubwa ni kupotosha umma
Lukuvi alishawahi kutajwa kama miongoni mwa vigogo waliojipatia vibali kwa ajiri ya kuvuna mbao na yeye akajitetea alichukua kwa ajili ya shule za jimboni kwake hivyo kuna muingiliano wa maslahi binafsi
Kiongozi aliyetajwa na Msigwa siyo wa CCM bali ni Diwani wa Chadema na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu,ina maana magwanda hawawajui hata viongozi wao,huku ndo kukurupuka kuongea bila kuwa na uhakika wa unachokiongea,hao ndiyo viongozi wa magwanda ambao kazi yao kubwa ni kupotosha umma