Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
- Thread starter
- #61
Huna sababu ya kuhamaki ule ulikuwa ni mchango wangu mimi si mwana sangara kama unahitaji maoni kwa kuanzisha hii thread ungenielewesha sio kunizobodoa vipi wewe ,unakurupuka hasira ya nini umeanzisha mjadala acha tuchangie usilete za kuleta ,matawi mangapi katika vijiji vya nchi hii,karibu zaidi ya na kata ndio swali letu
Kichwa kibovu nini kama wana CCM
Pole nimekukwaza eeh.You got what you deserve kwa kuongea vitu ambayo huna facts zake..No fact no right to speak.